Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nawanywea gongo kabisa ili nisiwasumbue wakat wanapata riziki yao..[emoji23] [emoji23]

Kesho nampango wa kula mchicha ili msosi wao waupate kwa wingi.. [emoji23] [emoji23]
Vizuri chief
Huwez jua kesho watakusaidiaje ..acha wapate haki yao
 
Wozap yangu nashare na mtoto wa mamkubwa naona unanitakia yaliyo mema ili uzid kupata majibu ya swali lako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem kumbe umeshika hivyo
 
Nilijua sasa hivi upo kwa bed na mbebez mnacheza eloko oyo [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Yupo hapa kalala hoi.. kasema poo!!

Namsubiri alfajiri alfajir.. nikandamize vi3 vya mkwezi.. kimoja bafuni, kimoja kwa kiti na lastly kwa bed..[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom