Makapuku Forum

Makapuku Forum

Dawa yke kumfanyia fitina kwa mama

....wewe tena utakosa cha kuongea! Ningeshangaa sana maana kama ni fitna unazonifanyiaga kwa BlessedHope hata hazihesabiki. Nawaangalia tu ana aunt yangu.

Yaani humu ukiondoa anko wangu lee empire wote hampendi kabisa, yaani hata BH akinisalimia tu mnajisikia maumivu ya kichwa
 
Binamu mpendwa wako umemficha wapi lakini


....yupo anafurahia siku zake.
Siku zake za mapumziko
tumblr_mms0drXRC31ru12emo1_250.gif
 
Muziki utawajia baada ya kumalizana na wanaonifanyia fitna hadi nashindwa kutabasamu
binamu wakina nani hao
....wewe tena utakosa cha kuongea! Ningeshangaa sana maana kama ni fitna unazonifanyiaga kwa BlessedHope hata hazihesabiki. Nawaangalia tu ana aunt yangu.

Yaani humu ukiondoa anko wangu lee empire wote hampendi kabisa, yaani hata BH akinisalimia tu mnajisikia maumivu ya kichwa
 
Muziki: Kigeugeu

Ujue kesho ni Alhamisi, yes na kama ulikuwa hujui basi najishukuru kwa kukumbusha maana bila hivyo ungelala ndani ukijua kabisa kwamba leo ni Jumanne. Mara baada ya kupokea asante yako Kapuku mheshimika nami ninakusalimia maana huu ndo uungwana ambao umetushikilia hapa bila kujali khali zetu.

Basi bhana, nilirudi tena Lindi na safari hii nikaona nisifikie kwa wale washua niliofikia kwao wiki jana, why, kwanza nina fungu la kutosha kukaa guest house na pili wale jamaa ni vigeugeu sana, siku nimetangaza kuondoka mchana wakaanza maandalizi ya kupika pilau la mbuzi na watakula usiku! Unashangaa, bora wewe unashangaa mimi nilipatwa na kiungulia kabisa, yaani nimekaa siku mbili ni mwendo wa wali ndondo na ming'oko asubuhi natangaza kuondoka wanapika pilau?! Niliwabana, la mbona mimi nina mwili wa wastani tu nitawabana vipi na tunapokula tunakula na vijiko tonge langu hawalijui. Anyway nisilalamike sana maana nami nimeamua kugeuka na kwenda kukaa guest. Nitawasiliana na anko wangu anipe namba za wale wenyeji mahsusi.

Muziki sasa, ni siku nzuri kuburudika na kufurahia usiku wakati unajiandaa kuulalia ubavu wako. Oh, siku nyingine nitaeleza namna ya kulala maana wengine wanalalana ubavu ubavu wengine full vigeugeu kugeuka geuka tu wala hujui analalia wapi..

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom