Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Akili ya kuambiwa unachanganya na ykoUnawapa ruksa watu huogopi murder case mjukuu mwee?
Basi sawaAkili ya kuambiwa unachanganya na yko

Asiye na baby na mawivu yake abebe jiweWatajijua sisi tuendlee na maisha yetu humu





au achukue geisha jamaanDawa yke kumfanyia fitina kwa mamaYaan kigeugeu kama kinyonga
Muda mwingine ukichulia serious unaweza changanyikiwaHupaswi kulia... Unatakiwa ucheke uondoe stress
Mama mbona hampati ye si mzee wa fitna binamu imekula kwakeDawa yke kumfanyia fitina kwa mama
My love Tumosa Asante kwa chakulaBinamu mpendwa wako umemficha wapi lakini
Dawa yke kumfanyia fitina kwa mama
Binamu mpendwa wako umemficha wapi lakini
Muziki utawajia baada ya kumalizana na wanaonifanyia fitna hadi nashindwa kutabasamu






binamu wakina nani hao
....wewe tena utakosa cha kuongea! Ningeshangaa sana maana kama ni fitna unazonifanyiaga kwa BlessedHope hata hazihesabiki. Nawaangalia tu ana aunt yangu.
Yaani humu ukiondoa anko wangu lee empire wote hampendi kabisa, yaani hata BH akinisalimia tu mnajisikia maumivu ya kichwa