Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Ndio furaha yake me na mjomba ake tukiachana amtafutie hao wanaokuaga nap huko kwenye mapampulaanataka muachane kumbeee
Mc u mara 10 power log70000000000Jamaan nipeee nimekumiss ujue
Usiniambie unataka nikufwe ghafla kwani mpaka leo hajafunga pm yake basi shem ifunge ukiingia kwa browserwapenzi sijui
hahaaha .....mapampula ndo viwanja vyaoNdio furaha yake me na mjomba ake tukiachana amtafutie hao wanaokuaga nap huko kwenye mapampula
Ahahahhah hamna me siwezi kukuongopea ujue leo namwambia ananiambia ndio uje sasawee si unanifichaaa ...ntaonaa tu ma dp
SwalamaHabari zenu mabibi na mabwana
au nimdiiiiipuuuu ajeeeshem nimecheka sana
wee unanitakiaa kesiii ...fursaa zake hazinihusu ila usimwambieUsiniambie unataka nikufwe ghafla kwani mpaka leo hajafunga pm yake basi shem ifunge ukiingia kwa browser
dudee limeamshwaa tenaAhahahhah hamna me siwezi kukuongopea ujue leo namwambia ananiambia ndio uje sasa
binamu eti huyoo ndo mchepuko wa aunt yako au ?....ado ado mdau, kwema?
Mjukuu wangu nakupendea hapo.... Ukitozwa... Tozana!Tumetekana wote wa kumficha baba d zaidi yangu sijaona![]()
Ili hali tunapumua ni mwema tuu mkuu....ado ado mdau, kwema?
Swalama tu,vip hali mzee mzimaSwalama
Aniteke nani mwenzangu.. wadhani mie natekeka kirahisi rahisi, nmezoea mie kuteka watu..![]()
itakuwa maajabu mtekaji nae atekwe.. mtekaji yampasa imkute kazi, awe na mapenzi ya bara achanganye na pwani...





wewe gubegube wa kukuteka ajiangalie sana
binamu eti huyoo ndo mchepuko wa aunt yako au ?