Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
sorry mjomba wake lee
ni mm niliingia kwa account yake ila anakusalimia sana








nafurahi unavyowavuruga
sorry mjomba wake lee
ni mm niliingia kwa account yake ila anakusalimia sana








nafurahi unavyowavuruga
mm sielewiii ..kumbe unaamini
....mbona mnasalimiana kila wakati? Penzi lenu changa sana nini?








bongo movie binamu
MfyuuuuuuuuuuHa ahahhahahaha, mjomba tulia, kuna mengi! Aunty yangu anadai umemficha lakini nyeti zinaonesha umefichwa na wewe sasa Giresi umemficha wapi?
Woyooooooooooooo makaHabari zenu mabibi na mabwana
Nahisi ni changa hasa tena lile changa la macho..![]()
![]()






nakwambiaga maka unaniamini sasaWoyoooooooo shunie...Woyooooooooooooo maka
nshamuelewa bianmu wakoMfyuuuuuuuuuu
Unaamini kuhusu safari ya janamm sielewiii ..
Wanakufata pm tenachangamotoo
na uzuri wananifata pm
wakina nani shem
Ni niniii jaman ulitekwa eenhWoyoooooooo shunie...
wee si unanifichaaa ...ntaonaa tu ma dpUnaamini kuhusu safari ya jana
wapenzi sijuiWanakufata pm tena![]()
wakina nani shem
Huyo ni kivuruge kila siku analeta mambo za baba d nimeshamwambia nikimuacha binamu yake atafurahinshamuelewa bianmu wako
Jamaan nipeee nimekumiss ujueWacha nikupe muhag wa mwaka 50 kweusi..![]()
![]()
anataka muachane kumbeeeHuyo ni kivuruge kila siku analeta mambo za baba d nimeshamwambia nikimuacha binamu yake atafurahi
shemu nakusemeaaJamaan nipeee nimekumiss ujue
Aniteke nani mwenzangu.. wadhani mie natekeka kirahisi rahisi, nmezoea mie kuteka watu..Ni niniii jaman ulitekwa eenh
itakuwa maajabu mtekaji nae atekwe.. mtekaji yampasa imkute kazi, awe na mapenzi ya bara achanganye na pwani...