Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aniteke nani mwenzangu.. wadhani mie natekeka kirahisi rahisi, nmezoea mie kuteka watu.. itakuwa maajabu mtekaji nae atekwe.. mtekaji yampasa imkute kazi, awe na mapenzi ya bara achanganye na pwani...


......yaani wewe kama mvuvi baharini, ukikosa nguva unaibuka na changu

..na ukiwa nchi kavu uko kama kichaa jalalani ukikosa makopo unapata mlupo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom