Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
shemu umekoseaa auSio wanafki wa jukwaa hili![]()
uchovu wa safari au sijaelewashem sijakosea ujue
Marhabaa mjukuu wangu... Jambo wewe? Baba wawili?Shikamoo babuu
shemu umekoseaa au
Hmmmm.... Baba D mwenyewe alikuwa katekwa... Au mlitekwa wote?Baba D amenificha shikamoo babu



sorry mjomba wake lee......tehe tehe tehe tehe , mjomba , ukifichwa fichamana.
Marhabaa mjukuu wangu!Baba D amenificha shikamoo babu
Salama mume wngu umeshindaje
sorry mjomba wake lee
ni mm niliingia kwa account yake ila anakusalimia sana
Habari zenu mabibi na mabwana
Mishe vipi!?...salama sana jembe na nyundo
binamu una mambo lakini hayo ya giresii umeyaiba wapiiHa ahahhahahaha, mjomba tulia, kuna mengi! Aunty yangu anadai umemficha lakini nyeti zinaonesha umefichwa na wewe sasa Giresi umemficha wapi?
Kwenye ubora wako kabisa sasa mbona me ndio niliyemficha......tehe tehe tehe tehe , mjomba , ukifichwa fichamana.
Tumetekana wote wa kumficha baba d zaidi yangu sijaonaHmmmm.... Baba D mwenyewe alikuwa katekwa... Au mlitekwa wote?![]()


Nahisi ni changa hasa tena lile changa la macho......mbona mnasalimiana kila wakati? Penzi lenu changa sana nini?
