Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Mbeya kwema Leo nipo hapa soko matolaMorning shemeji, za mbeya
Mbeya kwema Leo nipo hapa soko matolaMorning shemeji, za mbeya
Nalitambua hiloSi mabingwa watetezi
ahahhahha sawa mkuuTuko pamoja sana Lee empire
Pole kwa kipigo cha juzi
Umenikumbusha kwa matola aiseeMbeya kwema Leo nipo hapa soko matola
Kipigo kutoka kwa man city au ?Tuko pamoja sana Lee empire
Pole kwa kipigo cha juzi
Ndio shemejiKipigo kutoka kwa man city au ?
Bingwa mtetezi umepewa kipigo auSi mabingwa watetezi
Pole zakeNdio shemeji
Karibu ila mda si mrefu naenda mboziUmenikumbusha kwa matola aisee
Mbozi ipi, maana mbozi ni kubwa shemejiKaribu ila mda si mrefu naenda mbozi
Nina vituo vitatu naanzia Ruanda naishia vwawaMbozi ipi, maana mbozi ni kubwa shemeji
Vwawa enzi hizo hekima hotel, hivi bado ipoNina vituo vitatu naanzia Ruanda naishia vwawa
Ile zilipendwa ila ipoVwawa enzi hizo hekima hotel, hivi bado ipo
Morning my sweetheartMorning all kapuku
Morning mom miss uMorning Mkuu Shululu Ubarikiwe
Zaburi 126
1 BWANA alipowarejeza mateka wa Sayuni, Tulikuwa kama waotao ndoto.
2 Ndipo kinywa chetu kilipojaa kicheko, Na ulimi wetu kelele za furaha. Ndipo waliposema katika mataifa, BWANA amewatendea mambo makuu.
3 BWANA alitutendea mambo makuu, Tulikuwa tukifurahi.
4 Ee BWANA, uwarejeze watu wetu waliofungwa, Kama vijito vya Kusini.
WIKI NJEMA,JUMATATU NJEMA SIKU NJEMA MBARIKIWE![]()

Asante mkuu ObeAsante sana shululu kwa magazeti
Shukrani BlessedHope kwa sala ya asubuhi.
Jtatu njema Makapuku wenzangu
Pole na majukumu shemelawakuu kumekucha salama ? Namshukuru mwenyezi Mungu j3 imeanza salama japo nawamis ila ni majukumu ya kulijenga taifa