makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,972
- 104,416
Yupo huyu mtu kweliBriz
Yupo huyu mtu kweliBriz
Fanya hvyoNafanya mipango nirudi kwenye jina langu la zamani![]()
Namie nashukurusawa bwana nashukuru
EwaaAaaaaa....(in sakayo's voice)Husna na ndugu yangu obe...
Kabisa yani...Nadhani itakuwa hvyo, mizunguko ya kimaisha hatufanani.
Sasa imekuwa "guest house"Polee wamekimbia jumba lao
Ila watalikuta tuko tunawalindia
Ohooo....unataka kupigwa saasaHatupindishi mambo..
Nataka tetra amchukue jumla sio aishie kumkopa tuu.. ila ye anahis tofaut, bunadamu bhana, unaweza ukampa mtu buku kwa moyo mmoja baada ya kuona ana njaa ila yeye akatafsir ni unajikweza, mpenda sifa, unataka uonekane, ila ndvyo ilivyo hatuwez kuwa sawa![]()
![]()
Haka kanahis nakaonea wivu wakat hata kwa mkopo nisingeweza kukachukua, hata mahali kanilipie kenyewe.. am sorry wajameni![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
DuuTeh teh teh.. mapenz ya mwanzo mwanzo mtabadili chaga kila wiki![]()
![]()
![]()
![]()

Hata mimi nilipotea kwa muda mrefu,,,,pengine nao watarudi at any time!

Heee....Teena looh!Ntake radhi husna dada..![]()
![]()
Mbali wapi huko?!Umenikumbusha mbali..![]()
![]()
Mwili unakuwa kama umebiringishwa kwenye tope la masika.
mwenyewe anajionaga kapeeendezaInvisible user?
Wacha weehajambo kabisa