makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,972
- 104,414
Ntake radhi husna dada..Atakuwa mzaramo huyu dogo maana sio kwa mineno hiyo kah!

Ntake radhi husna dada..Atakuwa mzaramo huyu dogo maana sio kwa mineno hiyo kah!

Aisee haaaaahaaaaTeh teh teh.. mapenz ya mwanzo mwanzo mtabadili chaga kila wiki![]()
![]()
![]()
![]()
BrizHata mimi nilipotea kwa muda mrefu,,,,pengine nao watarudi at any time!
Nafanya mipango nirudi kwenye jina langu la zamaniKaribu ubongo mpana

sawa bwana nashukuruHatupindishi mambo..
Nataka tetra amchukue jumla sio aishie kumkopa tuu.. ila ye anahis tofaut, bunadamu bhana, unaweza ukampa mtu buku kwa moyo mmoja baada ya kuona ana njaa ila yeye akatafsir ni unajikweza, mpenda sifa, unataka uonekane, ila ndvyo ilivyo hatuwez kuwa sawa![]()
![]()
Haka kanahis nakaonea wivu wakat hata kwa mkopo nisingeweza kukachukua, hata mahali kanilipie kenyewe.. am sorry wajameni![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mwili unakuwa kama umebiringishwa kwenye tope la masika.....even me
Haijambo kabisa, tetramelyz mzimafamilia haijambo
No!Briz
Nadhani itakuwa hvyo, mizunguko ya kimaisha hatufanani.Hata mimi nilipotea kwa muda mrefu,,,,pengine nao watarudi at any time!
Karibu joh..Hata mimi nilipotea kwa muda mrefu,,,,pengine nao watarudi at any time!
hajambo kabisaHaijambo kabisa, tetramelyz mzima
Polee wamekimbia jumba laoKuna nyakati nazimiss sana hapa KF,nyakati ya jonax,bitoz,werasson,jimena,quigley,sweetiepie na wengine...
Kila nikija namkuta shululu tu...