Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Imebidi niwapishe mieeeNaona wote mmeenda kulala..
Hizi tabia za wachina mmetoa wapi mnalala mchana![]()
Imebidi niwapishe mieeeNaona wote mmeenda kulala..
Hizi tabia za wachina mmetoa wapi mnalala mchana![]()
Hebu mbusu Tetra nione !Ninafuraha jaman

Uwapishe Tetra na Money?Imebidi niwapishe mieee
Wewe apo na wenzioUwapishe Tetra na Money?
Love you moreI love you Hunie..
Mambo yanaendaje huko, mpe hi uncle wangu, nikija chuga nitakuja kumuonaNambie wanguuuuuuu
hakuna wakunitekaNgoja utekwe..![]()
Hahahaha, siwezi kukuacha pekeyako wifeynakupenda pia babe, ila usiwe unaniacha muda mrefu mwenyewe wananionea huku
Mie nakupenda wewe mwanamkeWewe apo na wenzio
Huku kwema bwana twamshukuru Allah, karibu sana japo unaishiaga Njiro tu mara paaap uko MoshiMambo yanaendaje huko, mpe hi uncle wangu, nikija chuga nitakuja kumuona
Mie nimekuwa mbea tena![]()
![]()
![]()
umbea tu unawasumbua
thnx darln, much loveHahahaha, siwezi kukuacha pekeyako wifey
Najua hawatarudia tena, maana nimeshazip midomo yao

wewe hauusiki kabisaaaaMie nimekuwa mbea tena
Sasa kwani watu walikuwa wanajua , tulifanya vile ili tuendelee kula vzr sasa ukisema mbele za watu Lumumba watajua kama tunawatapeli hahahah hyo ndiyo Chuga bwana mzee akaishia kusema wapumbavu kabisaaa nyieSi utapeli wa sheikh amri abied..?
Mmepiga hela ya Uncle afu hamkutokea ...![]()
Siku hizi tunafukuaga... Tunamfuata mkulu kwa karibu...Haya sasa mambo ya kufukua makaburi mama n upo
Nitaibuka aiseeHuku kwema bwana twamshukuru Allah, karibu sana japo unaishiaga Njiro tu mara paaap uko Moshi
Hahahaaa!Sasa kwani watu walikuwa wanajua , tulifanya vile ili tuendelee kula vzr sasa ukisema mbele za watu Lumumba watajua kama tunawatapeli hahahah hyo ndiyo Chuga bwana mzee akaishia kusema wapumbavu kabisaaa nyie
Nakupenda pia mpenziMie nakupenda wewe mwanamke
Ooohwewe hauusiki kabisaaaa