makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,901
- 104,148
Ndio,si nimesema nawapenda wote jamani, nae katika wote si yumo ama hayumo.. kama yumo nae nampenda pia.Unampenda moneytalk

Ndio,si nimesema nawapenda wote jamani, nae katika wote si yumo ama hayumo.. kama yumo nae nampenda pia.Unampenda moneytalk

Itakuwa jambo jema shemejiKumbe tutapitia tukusalmie na ww
Lee ana nongwa kama mtoto wa mganga..![]()
![]()
![]()
![]()
mnapenda kuchonganisha nyie

Thnx, shem lake.Shukrani tunakupenda pia shemela
Tena ni wa pua na mdomo..Jirani yko huyo
Raha mkulane kiukweli ukweli au sio, sio bby bby, kumbe hata jina lake halisi hujui..yakwepe hivyo hivyo maka sio mazuri ujue
Msalimie mumeo shululu ndio ana shida na hizo shikamoo
vya kurithi vibaya, shunie nawe umekuwa moto, majib yako husna akakoge maji ya mtoni yanayotembea..Safu, naipenda hii..Mama naona likes zako ebu mama mwambie shululu kuhusu me na mkweo Lee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nakupenda mama yangu anajua me na Lee eti mapenzi yetu ya jukwaani kama wao eti hajui kama me na Lee tunaishi wote
Safi sana, kama mko hvyo na nyie mnanidai buku 2, buku kwa kila mmoja.Shemela pm yako ingekuwa wazi ningekutumia picha nikiwa na love wangu Tumosa ili uamini
.. Katika watu niliowamisi ni mwanangu werrasonKweliii shemela ujue baba d kanikumbusha mtu muhimu sana mukongo jamaan nikikumbuka Mukongo popote ulipo asante sana kwa kuniletea baba d wangutulianza kibongo movie mpaka sasa tulipofikia tunamshkuru Mungu bongo movie tumewaachia wengine mukongo
Nawe pia jirani.Poa kabisa jirani
Usiku mwema
Nawe pia, mpendwa.Asante Mungu mwema na muweza katika maisha yetu nakushukuru kwa siku hii hakika imekua njema, tumekukwaza na kukukosea sana naomba utusamehe, tulinde usiku huu na hila zote, tuamshe kesho tukiwa na nguvu, amani na Furaha katika jina LA Yesu Kristo
Amen
USIKU MWEMA MLALE SALAMA WAPENDWA MBARIKIWE![]()
![]()
![]()
Alelelee... Vigeregere tafadhali..Niitieee binamu awekee mzikiiii naonaa watu leo wanavuanaa kyupiiii na boxer
Mtu mwenyewe anaitwa moneytalk,Jamaaaaniiiiii maka 10 atakula jeuriiii ya bi mdashiiiii

Amen BarikiwaNawe pia, mpendwa.
Upo kugamboni sehemu gani bibie..Amen Barikiwa
KisotaMjimwema, wewe wapi mpendwa.
Aahh.. kumbe hapo tuu, tutaonana inshaallah.Kisota