Makapuku Forum

Makapuku Forum

Napafahamu hapo,nakuja sana kwa mpemba ukiwa unaenda kongowe kulia...kulikua hospital ya sanitas zamani sikuhiz hospital haina jina kuna duka la mpemba anavitu vingi sana...karibu kisota
Aahh.. teh teh teh teh, kama ndio hvyo basi ushafika cz hapo ndio home ndugu yangu, ile hospital siku hizi inaitwa grette, sasa uapnde wa pili ndio home, kuna kijumba kinavigae vyekundu, mbele kuna banda la chips hv, mara nyingi kuna kinisani patrol kimoja kinapaki, basi hapo ndio maskan, ukiniulizia makaveli hapo, unaoneshwa hata na bata

Karibu sana ndugu yangu, ntafurah sana siku ukifika, ni jambo jema kufahamiana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom