Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mimi nimetekwa na sakayo.

d2bdc265fbe318884c2823708477e431.jpg



Cc Sakayo
hongera shemela
 
Muziki: Mashaka Hayaleti Kuamini

...kama umegundua, oh kumbe sikuwa nimekuambia mapema. Basi fahamu hili, nina jirani yangu mmoja mtata sana na utata wake ni pale hata akikukuta yeye ndo anataka uanze kumsalimia. Lakini ujue huyu jirani yangu sio kama wewe maana wewe ni mtu spesheli na ndiyo maana tunasalimiana bila kutiliana mashaka nani alikuwa wa kwanza kufika. U khali gani na siku yako ilikuwaje leo? Mimi sijambo.

Leo nimefurahi sana kiukweli, yes, sana tu maana nimemuona BlessedHope humu mapema tu yaani nikajikuta napatwa na kigagaziko ulimi umepigwa ganzi na moyo umefurahia. It's great to see you back Mama Mchungaji, tulikumiss sana na ninaamini unalijua hilo. Karibu na leo niseme tu kinyume cha kumuamini mtu ni kuwa na mashaka (suspicion) juu yake na kama huna mashaka na mtu maana yek unamuamini huyo mtu. nakuamini Kapuku mheshimika

Muziki sasa, sikiza sauti bora kabisa katika anga ya muziki wa taratibu na kisha uwe na wakati mzuri masaa machache Jumatatu ikamilike. asante sana shululu kwa magazeti, asante mjomba lee empire kwa UF, na hadithi na zaidi asante Kapuku kwa wewe kuwa hapa. Tunafurahi kukuona tena BH

 
Muziki: Mashaka Hayaleti Kuamini

...kama umegundua, oh kumbe sikuwa nimekuambia mapema. Basi fahamu hili, nina jirani yangu mmoja mtata sana na utata wake ni pale hata akikukuta yeye ndo anataka uanze kumsalimia. Lakini ujue huyu jirani yangu sio kama wewe maana wewe ni mtu spesheli na ndiyo maana tunasalimiana bila kutiliana mashaka nani alikuwa wa kwanza kufika. U khali gani na siku yako ilikuwaje leo? Mimi sijambo.

Leo nimefurahi sana kiukweli, yes, sana tu maana nimemuona BlessedHope humu mapema tu yaani nikajikuta napatwa na kigagaziko ulimi umepigwa ganzi na moyo umefurahia. It's great to see you back Mama Mchungaji, tulikumiss sana na ninaamini unalijua hilo. Karibu na leo niseme tu kinyume cha kumuamini mtu ni kuwa na mashaka (suspicion) juu yake na kama huna mashaka na mtu maana yek unamuamini huyo mtu. nakuamini Kapuku mheshimika

Muziki sasa, sikiza sauti bora kabisa katika anga ya muziki wa taratibu na kisha uwe na wakati mzuri masaa machache Jumatatu ikamilike. asante sana shululu kwa magazeti, asante mjomba lee empire kwa UF, na hadithi na zaidi asante Kapuku kwa wewe kuwa hapa. Tunafurahi kukuona tena BH


Asante Obe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom