Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Me nishakwambia mkumbushe tu anibebee mengine sitaki kusikia binamu.....hivi huwa hayafikishi kwako, huwa anabeba anasema anapeleka nyumbani
Au anko wangu ana nyumba nyingi?🙁
Me nishakwambia mkumbushe tu anibebee mengine sitaki kusikia binamu.....hivi huwa hayafikishi kwako, huwa anabeba anasema anapeleka nyumbani
Au anko wangu ana nyumba nyingi?🙁
Sawa ntakupeleka haiwezekani kila muda akupandishe pressure
Mmh katika hiyo list binamu ujianze na wewe.....jamani muacheni aunty yangu mimi, ana moyo jama. Hivi kwanini msiwe kama mimi tu ambaye simtii presha wala upepo.
Saa hzi nitaanzisha operation ya kuandika majina ya wote wanaomsumbua aunty yangu ninayempenda sana maana ni mke wa mjomba wangu
Mm ntakuvizia nkutwange bila ushahidi ndo ukome kidomodomo
Mmh katika hiyo list binamu ujianze na wewe
na hakuna mwingine kwenye list zaidi yakeMmh katika hiyo list binamu ujianze na wewe

Yupo shululu wa tumosa ndio anafatiana hakuna mwingine kwenye list zaidi yake![]()
![]()
![]()
![]()
Utajianza tu binamu hivi unajua unanikosesha amani sana binamu jaman nilikukosea nini mimiYaani monitor aandike jina lake kwa wapigakelele!?
We endelea.....jamani muacheni aunty yangu mimi, ana moyo jama. Hivi kwanini msiwe kama mimi tu ambaye simtii presha wala upepo.
Saa hzi nitaanzisha operation ya kuandika majina ya wote wanaomsumbua aunty yangu ninayempenda sana maana ni mke wa mjomba wangu
Haina shida,nafsi yngu itakuwa imeridhika....sasa sifa utapata wapi kuwa umenipiga.! Si nitasema tu nimeanguka
JamaaaniYupo shululu wa tumosa ndio anafatia
AminaAsante shemela
Utajianza tu binamu hivi unajua unanikosesha amani sana binamu jaman nilikukosea nini mimi
Haina shida,nafsi yngu itakuwa imeridhika
Ndaga dada gwanguHahahaaa kanunu kalumbu
SawasawaUsinichonganishe na aunty yangu please. Na kukuonesha tuko tight bila skin ninaweka muziki aliouomba, na wewe uburudike pia umdedikitie Shululu
Dada kutwimaki
Woooooooooozaaaaaaaa
Nampaaa...
Nampaaa..
Nampaaa
Nampa papaaa x 2
T santeeee ngoja nikampe baba d wangu mie

Yaan binamu wewe jamanUsinichonganishe na aunty yangu please. Na kukuonesha tuko tight bila skin ninaweka muziki aliouomba, na wewe uburudike pia umdedikitie Shululu