Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
We unamlea huyo binamy mpeleke kwa mjumbeAiseeee
We unamlea huyo binamy mpeleke kwa mjumbeAiseeee
Mbona hutulii dogo, ndo maana wanakukatalia
mamaaa sasa shem nimeshakuelewaNakupendaa
Nambiee tunalala wote au nijiongezee huku??
asante shem, nawapenda piaMwambie tunampenda na akaribie.
Asante shemelaKaribu sana shemeji?
Akapimwe kojoWe unamlea huyo binamy mpeleke kwa mjumbe
Kwambamamaaa sasa shem nimeshakuelewa
hahahahaaa ngoja niwe mpole bado me mgeniKwamba
Akinunaa naendaga kwa binamu
NdioooAkapimwe kojo
Vizur ukawa mpole shemhahahahaaa ngoja niwe mpole bado me mgeni
Ushaanza kisebengoo
Ushaanza kisebengoo
Mbona hutulii dogo, ndo maana wanakukatalia
Unanionea bure mieUshaanza kisebengoo
Hv binamu umewahi kupigwa kweli....hivi anko unajua Tumosa ndo ni namba moja kwenye ile list yako. Ulipokuwa umeenda kwa yule kibonge muuza kongolo alisema maneno ashakum nashindwa hata kuyaandika. Eti ni kweli umemuongezea mtaji afu umempeleka englishi kozi sababu eti maneno ya kiswahili hayakufurahishi mnapofanya yenu.
Mimi nikashangaa tu, nitasema nini tena kwa mjomba wangu
Njema dada ulimkafu utwa ukoooHbr ya jion kaka angu
PoleeeSijapata wa kunitiza dada anguu
Tununu utwa ukoNjema dada ulimkafu utwa ukooo