Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mbona hutulii dogo, ndo maana wanakukatalia
1003d4291c04d7ee05a6eff80d06660c.jpg
 
Ushaanza kisebengoo


....hivi anko unajua Tumosa ndo ni namba moja kwenye ile list yako. Ulipokuwa umeenda kwa yule kibonge muuza kongolo alisema maneno ashakum nashindwa hata kuyaandika. Eti ni kweli umemuongezea mtaji afu umempeleka englishi kozi sababu eti maneno ya kiswahili hayakufurahishi mnapofanya yenu.

Mimi nikashangaa tu, nitasema nini tena kwa mjomba wangu
 
....hivi anko unajua Tumosa ndo ni namba moja kwenye ile list yako. Ulipokuwa umeenda kwa yule kibonge muuza kongolo alisema maneno ashakum nashindwa hata kuyaandika. Eti ni kweli umemuongezea mtaji afu umempeleka englishi kozi sababu eti maneno ya kiswahili hayakufurahishi mnapofanya yenu.

Mimi nikashangaa tu, nitasema nini tena kwa mjomba wangu
Hv binamu umewahi kupigwa kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom