Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,011
- 31,798
Kuno tununu dada ingumbukite icha kukajaTununu utwa uko
Kuno tununu dada ingumbukite icha kukajaTununu utwa uko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]....hivi anko unajua Tumosa ndo ni namba moja kwenye ile list yako. Ulipokuwa umeenda kwa yule kibonge muuza kongolo alisema maneno ashakum nashindwa hata kuyaandika. Eti ni kweli umemuongezea mtaji afu umempeleka englishi kozi sababu eti maneno ya kiswahili hayakufurahishi mnapofanya yenu.
Mimi nikashangaa tu, nitasema nini tena kwa mjomba wangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hv binamu umewahi kupigwa kweli
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona hutulii dogo, ndo maana wanakukatalia
Naomba unisindikize mke mweeWe unamlea huyo binamy mpeleke kwa mjumbe
Ebu niambie jaman umemuelewajemamaaa sasa shem nimeshakuelewa
Mfyuuuuuuuhahahahaaa ngoja niwe mpole bado me mgeni
Binamu anko wako siku nyingine akienda kwa huyo muuza kongoro mkumbushe anibebee na me....hivi anko unajua Tumosa ndo ni namba moja kwenye ile list yako. Ulipokuwa umeenda kwa yule kibonge muuza kongolo alisema maneno ashakum nashindwa hata kuyaandika. Eti ni kweli umemuongezea mtaji afu umempeleka englishi kozi sababu eti maneno ya kiswahili hayakufurahishi mnapofanya yenu.
Mimi nikashangaa tu, nitasema nini tena kwa mjomba wangu
Hv binamu umewahi kupigwa kweli
Hahahaaa kanunu kalumbuKuno tununu dada ingumbukite icha kukaja
Ni mchokozi huyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sawa ntakupeleka haiwezekani kila muda akupandishe pressureNaomba unisindikize mke mwee
[emoji120] [emoji120]Sawa ntakupeleka haiwezekani kila muda akupandishe pressure
Mm ntakuvizia nkutwange bila ushahidi ndo ukome kidomodomo......,nilishawahi kupigwa nikalipwa hela nyingi tu. Unataka kunipiga nikuelekeze nilipo? Utakuja na mashabiki niandae mashahidi ili polisi wasisumbuke upelelezi?
Binamu anko wako siku nyingine akienda kwa huyo muuza kongoro mkumbushe anibebee na me
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Ebu niambie jaman umemuelewaje
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mfyuuuuuuu
NamuonaNi mchokozi huyo