Makapuku Forum

Makapuku Forum

....hivi anko unajua Tumosa ndo ni namba moja kwenye ile list yako. Ulipokuwa umeenda kwa yule kibonge muuza kongolo alisema maneno ashakum nashindwa hata kuyaandika. Eti ni kweli umemuongezea mtaji afu umempeleka englishi kozi sababu eti maneno ya kiswahili hayakufurahishi mnapofanya yenu.

Mimi nikashangaa tu, nitasema nini tena kwa mjomba wangu
 
73807e8ad90c665003399105d974eb40.jpg
 
....hivi anko unajua Tumosa ndo ni namba moja kwenye ile list yako. Ulipokuwa umeenda kwa yule kibonge muuza kongolo alisema maneno ashakum nashindwa hata kuyaandika. Eti ni kweli umemuongezea mtaji afu umempeleka englishi kozi sababu eti maneno ya kiswahili hayakufurahishi mnapofanya yenu.

Mimi nikashangaa tu, nitasema nini tena kwa mjomba wangu
Binamu anko wako siku nyingine akienda kwa huyo muuza kongoro mkumbushe anibebee na me
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom