Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Sisi na team yangu wasomaji tu na kuchombeza ila jana tuliwaachia liinterview lao watu wanatufata mjue kule kumepooza uzi hauendi kabisaMie na enterview mbali mbali
Sisi na team yangu wasomaji tu na kuchombeza ila jana tuliwaachia liinterview lao watu wanatufata mjue kule kumepooza uzi hauendi kabisaMie na enterview mbali mbali
Naanzaje Baba D kuvaa jamaan sijui umewaza niniKwani akikung'ata zile utazivaa kweliii
Hizo mambo unazotaka kuleta umfanyie interview ili iweje jaman akafanyiwe na muosha masufuria
ntakuzabua weweMbona hukuniita nijionee jaman![]()
![]()
mwenyewe si alisema kwenye uzi wa msamaha na aliaga anakuja kuongea na wewe kwenye video call hivi unajua ninavyoongea ni uongo
![]()
![]()
![]()
hii ni sala tu itakuwa kakariri ila kuwa muumini mzuri wa kanisa hapana kwakwel
Muulize Baba D
Si ndio mzee wa interview jamaan![]()
![]()
![]()
ntakuzabua wewe
hakuna namna kwakwelAcha nikupendee tu
Tafuta uzi uone tena aliaga usiku mwema jamaan ngoja nikaongee na baby wangu moneytalk kwenye video call whatsapp me siongei uongo ujueMbona hukuniita nijionee jaman
Hahahaaaa nyie wabayaShululu na tumosa![]()
Mjibu baba d kuhusu mimi na kanisa![]()
![]()
![]()
hii ni sala tu itakuwa kakariri ila kuwa muumini mzuri wa kanisa hapana kwakwel
![]()
![]()
![]()
![]()
Nijibu nini sasa
Hawa vijana sijui serengetii boy
Yule mama hakukosea kuwa kutongoza kufundishwe mashuleni ....hawajuiii step
kabisa maana vijana wa sasa ivi wanatongoza tu ovyo ovyoYani nimejikuta nacheka kwa sautihivi umewaza nini
Hao haoKuna mama jj waongo
jana kanipiga mkwara mzitosakayo ni mwehu sijui jina la mc wao kutoka tanga
Viben 10![]()
![]()
![]()
kabisa maana vijana wa sasa ivi wanatongoza tu ovyo ovyo





unatakiwa uwe makini la sivyo mwisho wa siku unakutana na mipicha yako imejaa jukwaani
jana kanipiga mkwara mzito




upii wa kuhusu mumewe au sakayo ana mkwara buana