Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
View attachment 587856Kutoka magazetini sina la ziada tukutane tena kesho, nawatakieni wote siku njema

View attachment 587856Kutoka magazetini sina la ziada tukutane tena kesho, nawatakieni wote siku njema

Hakika. Asante mama wawiliHakika tumeamka salama baba watoto
Umeamkaje mtima wanguHakika tumeamka salama baba watoto
Mungu hatawaacha polisi salama wanazuia hadi maombi kwa lisu

KaribuHabari za kuamka makapuku naona watu mitima yao wakifanya yao kwa raha zao kabisaa
Hapana chezea makapuku sasa kaa tayari hivi punde nakuletea "LEO KATIKA HISTORIA"
Enyi wazao wa nyoka mwawezaje kunena mema mkiwa wabaya? Mana kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake

Wahenga hawakukosea waliposema mapenzi ni upofuHaina shida tutavuta wote unacheza na mahaba
Wala hujakosea
Kuna siku ulisema wakati mnaulizana na bitoz, ndio tangu hapo kukalili
Habari mnayooo mtu na mkeweMwanamke mbea huyo we acha tu baba wawili




Kwahiyo ndio kusema omog bye bye simba washaanza drama za makocha
Shemela wangu mie asanteeView attachment 587856Kutoka magazetini sina la ziada tukutane tena kesho, nawatakieni wote siku njema
HBD Robert1864 - Robert Cecil, miongoni mwa waanzilishi wa Jumuiya ya Mataifa alizaliwa
WoyoyooooooooooooNa hapo ndio mwisho kwa Leo tukutane kesho ukiwa nami
Mrs obe![]()