Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
AbeeeeMy love Tumosa
Mbona hata mpendwa wako imegoma...labda umejiunga na kifurushi cha chuo?
maana hivyo vifurushi vinadownload notisi tu na mapafulekiti
Nzuri kabisa shemela, naona upo umetulia tuliSafi shemela za wewe
Aisee duhHahaha, Obbe kwanini unapenda muziki saana??
Kuna siku ulisema wakati mnaulizana na bitoz, ndio tangu hapo kukaliliWala hujakosea
Muziki: Makinikia
Niaje Kapuku mheshimika, natumaini umekuwa na siku njema kabisa na muda huu, well, muda huu UEFA -Cahmpion League inakaribia kuanza. Kuna wenzetu wanacheza kesho siku ya futui tutawakumbusha. Binafsi nimekuwa na wakati mzuri leo, kazi ni uhai. Kazi na kula kama pipa na mfuniko, leo ubweche na maharage ya soya, nimekaribishwa tu usijenitafuta na watu wasiojulikana. anayekaribiswha hakaribishi.
Kuna watu wanapenda kujificha jamani, sio kujificha tu na kuficha wanachofanya. hii inaweza kuwa sawa kama ni 'self-persali' business lakini kama ni interest ya umma kujua nini kinaendelea basi huna haja ya kuficha. Hebu rejea mazungumzo ya makinikia, tunawaona wazungu tu, ila wabongo wenzetu wanajifichaficha kama wanataka kutuibia. na siku zote anayependa kujifichaficha ni mwizi tu na wala hakuna maelezo mengine zaidi ya hayo.
Muziki sasa, si nilikwambia niko Lindi wiki hii yote, yeah, bado niko hapa na ninafurahia kiupepo cha uzuri kabisa jua likichelewa kuzama na kunifanya niwaze Lindi na Kigoma ni mikoa inayofaa kuwa na saa tofauti na mikoa mingine. burudika sasa

Za jioni my loveAbeeee
...mdau, muziki ni tiba ya mengi, Dr Remmy kaimba kuwa muziki ni maisha, utajiita mfiadini lakini lazima kuna muziki kwenye dini.
Na tusiojua kuongea wala kuandika, muziki hutusemea na kutuleta pamoja.
Unapenda muziki wa aina ipi? (genre)

Mh!Obe kamoo
...mwanamume anayejua kutengeneza chapati huwa haoi.
Sasa wapo wachoma vitumbua

Napenda nyimbo nyingi kwa mfano hii hapawimbo gani wa reggae unaoupenda, mmoja tu unaoupenda tufurahi pamoja
Aisee mpendwa "remember me": ya mwenyewe mkali luck dubewimbo gani wa reggae unaoupenda, mmoja tu unaoupenda tufurahi pamoja
Mahaba nipige shoti.....Haina shida tutavuta wote unacheza na mahaba
Kuna usalama kweli??Aisee duh
VP tena?! Mmea umeshaiva?!
Muziki: Makinikia
Niaje Kapuku mheshimika, natumaini umekuwa na siku njema kabisa na muda huu, well, muda huu UEFA -Cahmpion League inakaribia kuanza. Kuna wenzetu wanacheza kesho siku ya futui tutawakumbusha. Binafsi nimekuwa na wakati mzuri leo, kazi ni uhai. Kazi na kula kama pipa na mfuniko, leo ubweche na maharage ya soya, nimekaribishwa tu usijenitafuta na watu wasiojulikana. anayekaribiswha hakaribishi.
Kuna watu wanapenda kujificha jamani, sio kujificha tu na kuficha wanachofanya. hii inaweza kuwa sawa kama ni 'self-persali' business lakini kama ni interest ya umma kujua nini kinaendelea basi huna haja ya kuficha. Hebu rejea mazungumzo ya makinikia, tunawaona wazungu tu, ila wabongo wenzetu wanajifichaficha kama wanataka kutuibia. na siku zote anayependa kujifichaficha ni mwizi tu na wala hakuna maelezo mengine zaidi ya hayo.
Muziki sasa, si nilikwambia niko Lindi wiki hii yote, yeah, bado niko hapa na ninafurahia kiupepo cha uzuri kabisa jua likichelewa kuzama na kunifanya niwaze Lindi na Kigoma ni mikoa inayofaa kuwa na saa tofauti na mikoa mingine. burudika sasa
