shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Asante kwa kufikisha salamu zangu kwake,
Hukumwambia kuwa hela ya kununulia nilimuibia anko wangu? Je, hana tatizo nikiiba tena hela za anko wangu nikamnunulia?
Muulize tu kwa nia njema maana kama anakubaliana na hilo, mimi siku mjomba akinipa hela nipeleke kwa side chick(sio main chick wimbo unaopendwa na aunty yangu wewe na Tetramelyz anasema sauti ya Maua na sura ni tofauti😀) basi nifanye mchakato, nifikishe nusu , nusu nimnunulie simu


