Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mdau, mbona humu kumechangamka sana! wewe tu ndo unapotea ila hakuna kilichobadilika hata kidogo, well, kuna leo Hstoria na Jimena aliyemshikia Mussolin5 ndo imepumzika kidogo lakini unajua siku hizi kuna muziki+, yeah, Transcend anaweka muziki laini mara kibao na chakula cha fikra, then shululu anapandisha muziki pale yangu ikiscratch.

SHIMBA YA BUYENZE na falsafa zitakuja maana aliahidi, BlessedHope kajipumzisha kigamboni simu yake ni tecno new model, Bitoz mbuzi zake anafugia mjini, zimetaifishwa atakuja tu.

Anko wangu lee empire hadithi yake iliisha na kuna nyingine ikaanza (hii sikuisoma maana ile ya kwanza iliniacha in suspense), husna muba mpendwa wangu mapicha na hadithi kama kawa. Aunty yangu Shunie sala zinaendelezwa akishirikiana na dumejeuri

Hujamuona nani maana Tumosa yupo, wale mapacha wanazidi kukua vizuri, Sakayo yupo japo zile morning fancy pictured quotes haziweki, Clkey yupo, mzeewakungoa yupo akitaniana na babu yake, Tetramelyz yupo anadai namfitinisha, Mkushi wa kusi kama kawa, yupo, Madame S kaibiwa simu nadhani maana kuna kitu tunakikosa.

Nyagei mtaasisi mwenzangu yupo na mambo ya soka, Mndali ndanyelakakomu karejea majukumu yamepungua.

Nani hujamuona? Bailly5 yupo, eden kimario kila asubuhi anakuja

anigif_enhanced-27399-1432928193-4.gif
Mkuu heshima yko
 
Hahaaaa nakukubali kwa uandishi aiseee, Basi mm ndo mtoro
Mdau, mbona humu kumechangamka sana! wewe tu ndo unapotea ila hakuna kilichobadilika hata kidogo, well, kuna leo Hstoria na Jimena aliyemshikia Mussolin5 ndo imepumzika kidogo lakini unajua siku hizi kuna muziki+, yeah, Transcend anaweka muziki laini mara kibao na chakula cha fikra, then shululu anapandisha muziki pale yangu ikiscratch.

SHIMBA YA BUYENZE na falsafa zitakuja maana aliahidi, BlessedHope kajipumzisha kigamboni simu yake ni tecno new model, Bitoz mbuzi zake anafugia mjini, zimetaifishwa atakuja tu.

Anko wangu lee empire hadithi yake iliisha na kuna nyingine ikaanza (hii sikuisoma maana ile ya kwanza iliniacha in suspense), husna muba mpendwa wangu mapicha na hadithi kama kawa. Aunty yangu Shunie sala zinaendelezwa akishirikiana na dumejeuri

Hujamuona nani maana Tumosa yupo, wale mapacha wanazidi kukua vizuri, Sakayo yupo japo zile morning fancy pictured quotes haziweki, Clkey yupo, mzeewakungoa yupo akitaniana na babu yake, Tetramelyz yupo anadai namfitinisha, Mkushi wa kusi kama kawa, yupo, Madame S kaibiwa simu nadhani maana kuna kitu tunakikosa.

Nyagei mtaasisi mwenzangu yupo na mambo ya soka, Mndali ndanyelakakomu karejea majukumu yamepungua.

Nani hujamuona? Bailly5 yupo, eden kimario kila asubuhi anakuja

anigif_enhanced-27399-1432928193-4.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom