Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,166
Mahaba mahabani baba d[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwendaaa zakooooo.......
Ameen barikiwa sana13rd wednesday, 2017, sept
[emoji411]Neno la Mungu asubuhi[emoji411]
[emoji477][emoji477]Waebrania 12:1-2[emoji477][emoji477]
_1 Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,_
_2 tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu._
✝✝✝✝✝✝✝✝✝✝
MUNGU NI PENDO ATUPENDA[emoji120]
✝✝✝✝✝✝✝✝✝✝
Mie sijambo kabisaaa
KwemaaaaJamani kwema hapa
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Mambo hayo toka jana usiku binamu kafanya sherehe kabisa kwa kuwekwa kwa avatar[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Binamu wangu huyu huyuu??Mambo hayo toka jana usiku binamu kafanya sherehe kabisa kwa kuwekwa kwa avatar
Sent using Jamii Forums mobile app
Afanye party nisijueee[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kafanya hapa kapuku jaman ulikua haupo kusherehekea na babe wakeAfanye party nisijueee[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sio kweliii sio yeye
Sio kweliiii