Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 464,001
We Baba utaniua ujue au hujui kama unatembea na roho yangu ebu niwekee huyo nyimbo kwanza aliimba jaydee na mwana fa hata sijui inaitwajeee baba d
Ili nipone jaman naumwa ugonjwa wa kutowaona wakina jjIli ugundue nn
Kweli kabisa Mrs shululu wa bongo movie ya kapukunilikumiss tu Mimi
wewe Lee, fungua pm nikutumie picha zetu
Kinachokupitisha niniiii
TupoooMakapuku wenyewe
Mie sijambo kabisaaa sijui wwMama Wenger vip uko poa
Bongo movieMe mbona huwa napambana na hali yangu shemela na ninapambana na mahusiano yangu huwa sitaki msaada wowote jaman
Nileteeni jaman au mnataka nikufwe bila kuwaonaMfyuuu
Hao watakuwa watoto wa Sakayo shemela![]()
![]()
Hapa wakiwa na mwaka mmoja na nusu.
Wamekudanganya wakina jj wa kiume hata mwaka hawajafikaHiz picha alinitumia Tumosa kwenye whatsapp..
Ama na mimi nilidanganywa?
Mimi nimeshawanunulia hadi midoli ya kucheza ujue..![]()
Shemela sie watoto wetu ni wa kiume hao cio wenyeweShemela...
Mimi natuma picha za wajomba zanu kina jj
Ujijue shemela upo kwenye list ya wabaya wangu