Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Hiz picha alinitumia Tumosa kwenye whatsapp..
Ama na mimi nilidanganywa?
Mimi nimeshawanunulia hadi midoli ya kucheza ujue..![]()

Hiz picha alinitumia Tumosa kwenye whatsapp..
Ama na mimi nilidanganywa?
Mimi nimeshawanunulia hadi midoli ya kucheza ujue..![]()

Asante kwa kujitambua shemelaBongo movie yetu tunajuana wenyewe nyie sasa ebu ninyamaze mie![]()
Niwekeen jaman mke mweeWe kambea hvo
Katekwa huko amekuja kujisifu kwa binamu obe alikua na mwanamke ana shanga 1500Ulimteka ww
Na wewe wa 3
Shindwaaaaa katika pepo la shululu
cwezi shindwa coz Shululu hana pepo
We mbaya wangu sana shemelaShemela mimi nawe ubaya umetoka wapi
Me mbona huwa napambana na hali yangu shemela na ninapambana na mahusiano yangu huwa sitaki msaada wowote jaman

Sisi bongo movie nimemaanisha sisi wenzenu tunajuana yaan sijui niwaambie nini nyinyi sasa hata kujuana hamjuani msikute wote hapo jinsia mojaAsante kwa kujitambua shemela



Usihofu mke mweee nakutumia whatsappSijakomaampaka niwaone wakina jj
Tuma hapaUsihofu mke mweee nakutumia whatsapp
PoleeeIli nipone jaman naumwa ugonjwa wa kutowaona wakina jj
Kaa hivyo hivyo shemelaSisi bongo movie nimemaanisha sisi wenzenu tunajuana yaan sijui niwaambie nini nyinyi sasa hata kujuana hamjuani msikute wote hapo jinsia moja![]()
HajamboNiko poa kabisa, jombaa hajambo
Afungue ana ubavu![]()
![]()
wewe Lee, fungua pm nikutumie picha zetu
UmbeaKinachokupitisha niniiii
Wenger wetu hajamboMie sijambo kabisaaa sijui ww