Makapuku Forum

Makapuku Forum

Upendo huvumilia, hufadhili, upendo hauhusudu upendo hautakabari, haujivunii

Haukosi kuwa na adabu hautafuti mambo yake hauoni uchungu, hauhesabu mabaya

Haufurahii udhalimu bali hufurahi pamoja na ukweli

Huvumilia yote huamini yote hutumaini yote hustahimili yote

Upendo haupungui neno wakati wowote Bali ukiwapo unabii utabatilika zikiwapo lugha zitakoma yakiwapo maarifa yatabatilika

WAKORINTHO 13:4-8

MUWE NA ASUBUHI NJEMA JAMANI MBARIKIWE SANA
Ameni
 
Ewaaaaaa shem waniletee tu jamaan hili nitulie halaf waambie leo wasinichanganyie picha nipo makini sanaa
04cff5a8c9beb07e622148b35f6bfec7.jpg

1eddcacf878d94576672515ad3a37d45.jpg


Hapa wakiwa na mwaka mmoja na nusu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom