Dereva inatakiwa asiongee chochotee mpaka mh lissu apone ....dude liamshwe vyema ....na akae huko aliko
Asante mkuuView attachment 585928Asubuhi njema makapuku wote
Itakuwa vizuri sana, hatakiwi kusema chochoteDereva inatakiwa asiongee chochotee mpaka mh lissu apone ....dude liamshwe vyema ....na akae huko aliko
Yaaaah japo wale wa lumumba na akili zao washaanza kumuundia zengwe ....Itakuwa vizuri sana, hatakiwi kusema chochote
Morning baba wawiliMorning all kapuku
Morning too mama JJMorning baba wawili
Miss u hubbyMorning too mama JJ
Miss you mingi mingi sana loveMiss u hubby
Upendo huvumilia, hufadhili, upendo hauhusudu upendo hautakabari, haujivunii

Miss u hubby
Kho kho khoMiss you mingi mingi sana love
Mama jj mwenyewe ndani ya nyumbaHbr ya asubuhi wapendwa,mie cjambo hofu kwenu
Uchokonoziii yakinifuuuKho kho kho
Asante kwa neno la uzima, shemela shunieUpendo huvumilia, hufadhili, upendo hauhusudu upendo hautakabari, haujivunii
Haukosi kuwa na adabu hautafuti mambo yake hauoni uchungu, hauhesabu mabaya
Haufurahii udhalimu bali hufurahi pamoja na ukweli
Huvumilia yote huamini yote hutumaini yote hustahimili yote
Upendo haupungui neno wakati wowote Bali ukiwapo unabii utabatilika zikiwapo lugha zitakoma yakiwapo maarifa yatabatilika![]()
WAKORINTHO 13:4-8
MUWE NA ASUBUHI NJEMA JAMANI MBARIKIWE SANA![]()
![]()
Kunywa dawa ya kikohozi shemelaKho kho kho
Shemela wa mimi apa za kwakoMama jj mwenyewe ndani ya nyumba
Hapana baba d jaman yaan nimefika hapo tu nimepaliwaUchokonoziii yakinifuuu