Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
HakunaNani aliwahi kukukomalia ukaingia line??
HakunaNani aliwahi kukukomalia ukaingia line??
Mi nalima mazao ya chakula

Asante shemela.Kweli jeuri humpumbaza mwenye hekima na rushwa huuharibu ufahamu
Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi
Usifanye haraka kukasirika mana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu![]()
MITHALI 7:7-9
MUWE NA JUMAPILI NJEMA JAMANI MBARIKIWE SANA![]()
![]()
Nakuwa wakwanzaHakuna
Unazingua ssSijui tena mwenyewe![]()
Duuh, umenishinda tabia aseeSijui tena mwenyewe![]()
Mbona Sijaagiza mtu yeyote akuletee taarifa yoyote?? Zitakua zimepikwa hizo!!

Aisee duhKwahiyo unataka wali uliopikwa krisimasi mimi nile siku ya boksing dei, wengine wakiwa washashiba??
Nawafatilia tuSijui tena mwenyewe![]()
Barikiwa shemelaAsante shemela.
Tuko episode ya ngapi?!Nawafatilia tu
Tunakumiss pia pole na hizo changamotonawasalimu makapuku wenzangu wooote,nimewamiss Sana,nna wiki ss application ya jf haifunguki kwa cm yng hapa nimeingia through operamini free basics tabu tupu cpati jukwaa ktk mtiriko stahili,ntajitaidi kutatua changamoto hii tuwe pamoja km kawaida nawapenda na kuwajal ndg zangu muwe na jumapil njema
Ndio vizuri ili mfananeSasa si atakuwa ndugu yangu huyo ninaye fanana naye
Nijiongeze kuhusu nini![]()
jiongeze
Ya tatuTuko episode ya ngapi?!
Is that "YES" by any chance????
Cc.obeIs that "YES" by any chance????
Hahaha, vipi Shululu wapigwa na butwaa???Aisee duh