Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Tupo mkuu, ila sasa muda wako mkuu ni wa hatari
Tupo mkuu, ila sasa muda wako mkuu ni wa hatari
Nzuri my wiiHabari ya asubuhi makapuku
Pole mamyJamani wana kapuku naomba niwasilishe hili:
Kama mnavyojuag
hali Halisi kwamba humu wengi tunaigiza tu wala hatufauhamiani na hizi couple kwangu ni drama not my real life,sijui kwenu ni hivohivo??coz cmjui hata mmoja humu na hatujawahi hata kuonana, na mjue ya huku kapuku yaishie hukuhuku,but huyu kaka cjui anajiita emmyguy anavuka mpaka na kuja kunipostia kule kwenye thread za wakongwe na wengineo,silipendi hili!
We were acting here but mi huwa nshiriki kiuhalisia kwenye thread za wengine nje na hapa,nna maisha yangu halisi na ilitkea mda si mrefu mpenzi wangu akatafuta sababu zisizo na uzito na kuamua kuachana nami ghafla,nliumia na bado nna hasira ndani yangu dhidi ya wanaume ndo mana kwenye ile thread anayoimention kila mara huyu jamaa humu nlicomment kwa hasira,sasa anajistukia ni yeye sijui halafu ananijibu kule kwenye thread ya wakongwe "asante mama, kwaheri!
ana tatizo gan hyu mtu?
Jamani wana kapuku naomba niwasilishe hili:
Kama mnavyojuag
hali Halisi kwamba humu wengi tunaigiza tu wala hatufauhamiani na hizi couple kwangu ni drama not my real life,sijui kwenu ni hivohivo??coz cmjui hata mmoja humu na hatujawahi hata kuonana, na mjue ya huku kapuku yaishie hukuhuku,but huyu kaka cjui anajiita emmyguy anavuka mpaka na kuja kunipostia kule kwenye thread za wakongwe na wengineo,silipendi hili!
We were acting here but mi huwa nshiriki kiuhalisia kwenye thread za wengine nje na hapa,nna maisha yangu halisi na ilitkea mda si mrefu mpenzi wangu akatafuta sababu zisizo na uzito na kuamua kuachana nami ghafla,nliumia na bado nna hasira ndani yangu dhidi ya wanaume ndo mana kwenye ile thread anayoimention kila mara huyu jamaa humu nlicomment kwa hasira,sasa anajistukia ni yeye sijui halafu ananijibu kule kwenye thread ya wakongwe "asante mama, kwaheri!
ana tatizo gan hyu mtu?
I second you Bitoz![]()
![]()
![]()
![]()
Jamaa kavuka mipaka
Kweli ni tatizo
Kimsingi ya huku yaishie huku
Ya PM yaishie PM
Tupunguze ushamba
Its funny not ugomvigomvi
Jamaa kaharibu
Msamehe
...,..................
Niko poa wifi sijui wewe na kakaNzuri my wii
Uko poa??
Kwanza jamaa aombe radhi
Mzima lakini?Goodmorning
Thanks God, sie ni wazma na tuko full happyNiko poa wifi sijui wewe na kaka
Morning braza.Good morning the team kapuku