Makapuku Forum

Makapuku Forum

Bwana Mungu wangu ikiwa nimetenda haya ikiwa mna uovu mikononi mwangu

Ikiwa nimemlipa mabaya yeye aliyekaa kwangu salama (hasha nimemponya yeye) Aliyekuwa mtesi wangu bila sababu

Basi adui na anifuatie na kuikamata nafsi yangu naam aukanyage uzima wangu na kuulaza utukufu wangu mavumbini

ZABURI 7:3-5

MUWE NA JUMAMOSI NJEMA MBARIKIWE SANA
 
Bwana Mungu wangu ikiwa nimetenda haya ikiwa mna uovu mikononi mwangu

Ikiwa nimemlipa mabaya yeye aliyekaa kwangu salama (hasha nimemponya yeye) Aliyekuwa mtesi wangu bila sababu

Basi adui na anifuatie na kuikamata nafsi yangu naam aukanyage uzima wangu na kuulaza utukufu wangu mavumbini

ZABURI 7:3-5

MUWE NA JUMAMOSI NJEMA MBARIKIWE SANA
Amen
 
Bwana Mungu wangu ikiwa nimetenda haya ikiwa mna uovu mikononi mwangu

Ikiwa nimemlipa mabaya yeye aliyekaa kwangu salama (hasha nimemponya yeye) Aliyekuwa mtesi wangu bila sababu

Basi adui na anifuatie na kuikamata nafsi yangu naam aukanyage uzima wangu na kuulaza utukufu wangu mavumbini

ZABURI 7:3-5

MUWE NA JUMAMOSI NJEMA MBARIKIWE SANA
Sawa mama zaburi, ninakaribia kukipenda hiko kitabu kwasababu ya facilitation unayoitoa hapo katika emoj ya pili kutoka mwisho kila siku kwenye post zako za zaburi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom