shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Pamoja sanaShukran shululu kwa magazeti...
Pamoja sanaShukran shululu kwa magazeti...
Pamoja sana mdau Obe
Ndio mkushi wa kusiHahahah leo nimekuwa mdhamin
Shemela alikuteka nani jamanPamoja sana
Binamu shikamoo jaman
Nilikuwa lushoto shemela, network ilikuwa shida sanaShemela alikuteka nani jaman
Bwana Mungu wangu ikiwa nimetenda haya ikiwa mna uovu mikononi mwangu

Shemela jaman mbona haujaaga lakini halaf unakupenda sana huko kwetu vipi baridiNilikuwa lushoto shemela, network ilikuwa shida sana
AmenBwana Mungu wangu ikiwa nimetenda haya ikiwa mna uovu mikononi mwangu
Ikiwa nimemlipa mabaya yeye aliyekaa kwangu salama (hasha nimemponya yeye) Aliyekuwa mtesi wangu bila sababu
Basi adui na anifuatie na kuikamata nafsi yangu naam aukanyage uzima wangu na kuulaza utukufu wangu mavumbini![]()
ZABURI 7:3-5
MUWE NA JUMAMOSI NJEMA MBARIKIWE SANA![]()
![]()
Niliaga shemela, baridi ipo ila sio kali sanaShemela jaman mbona haujaaga lakini halaf unakupenda sana huko kwetu vipi baridi
Mmh mbona me sijaona jaman au mliagana pm jamanNiliaga shemela, baridi ipo ila sio kali sana
Siku TZ wakifungua clinics za plastic surgery huyu kama ni mdau atakuwwa wakwanza kwenda kutengenezwa ili muonekano wake uendane na sauti yake.Ha ahahhahahaha! Hebu dadavua vizuri mdau😀
Huwa nasikiliza tuu, siwezi kuziangalia iSeeKuna ka ukweli ila ana kasauti jaman napendaga tu nyimbo zake
Sawa mama zaburi, ninakaribia kukipenda hiko kitabu kwasababu ya facilitation unayoitoa hapo katika emoj ya pili kutoka mwisho kila siku kwenye post zako za zaburiBwana Mungu wangu ikiwa nimetenda haya ikiwa mna uovu mikononi mwangu
Ikiwa nimemlipa mabaya yeye aliyekaa kwangu salama (hasha nimemponya yeye) Aliyekuwa mtesi wangu bila sababu
Basi adui na anifuatie na kuikamata nafsi yangu naam aukanyage uzima wangu na kuulaza utukufu wangu mavumbini
ZABURI 7:3-5
MUWE NA JUMAMOSI NJEMA MBARIKIWE SANA![]()
![]()
Hahaha, karibu mujini tenaNilikuwa lushoto shemela, network ilikuwa shida sana
Siku TZ wakifungua clinics za plastic surgery huyu kama ni mdau atakuwwa wakwanza kwenda kutengenezwa ili muonekano wake uendane na sauti yake.








Tatizo umekariri zaburi na hiyo emoji yako tetra mbona huwa naweka vitabu vingine tuSawa mama zaburi, ninakaribia kukipenda hiko kitabu kwasababu ya facilitation unayoitoa hapo katika emoj ya pili kutoka mwisho kila siku kwenye post zako za zaburi
Hata mimi nadhani..... Jambo mjukuu wangu?Mmh mbona me sijaona jaman au mliagana pm jaman