Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Hahahaa, "Wadada wa siku hizi JAU sana"unaona jau
Hahahaa, "Wadada wa siku hizi JAU sana"unaona jau
Kusipokua na emoji macho yangu hayawezi kuviona hivyo vitabuTatizo umekariri zaburi na hiyo emoji yako tetra mbona huwa naweka vitabu vingine tu
Cheko hilo
Asante mkuu, naona ndio unaamkaHahaha, karibu mujini tena
Itakuwa hivyo babu pm huko sijambo mimi shikamoo babu
Kusipokua na emoji macho yangu hayawezi kuviona hivyo vitabu






kwahiyo tetra nisipoweka emoji huoni kitu we mtu hapana jaman
Limefanyaje tenaCheko hilo
Mbona unanifanyia hivi baba d jaman nakumiss ujue



Nafanyajee swtyMbona unanifanyia hivi baba d jaman nakumiss ujue![]()
Ni nini mbaya leo babe nakumiss ujue

Baby worry out ...nikoo pooaaNi nini mbaya leo babe nakumiss ujue![]()
Hahaha, wikiendi hii. majukumu yamebana hadi unasahau siku muhimu kama wikiendi?Asante mkuu, naona ndio unaamka
Kama watu wengine wasemavyo kuwa mapenzi ni upofu, basi mie sioni chochote isipokuwa hio tuukwahiyo tetra nisipoweka emoji huoni kitu we mtu hapana jaman
ZuriiiiiiLimefanyaje tena