Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu obe nakuona ujue unaanza hata kama sinywi nitakuepo pembeni ya baba d eti binamu naruhusiwa kuchagua nyimbo sasa hivi
Bila shaka, chaguo unayopenda na ndo itakuwa nyimbo yetu ya siku.

Kuwa pembeni ya anko wangu inabidi uwe na roho ngumu maana tunapoenda leo anajulikana sana
 
Muziki: Furahiday ya Main Chick Sio Side Chick

Ni Ijumaa nzuri naamini kwako Kapuku mheshimika, uzuri wa Ijumaa kwa upande wangu ndo siku pekee ambayo huwa sipokei shikamoo, nakuwa casual na uchovu wote wa wiki nzima naucompensate leo kwa kinywaji, mishkaki na zaidi bakulutu. Muziki huongeza siku za kuishi, amini hilo, mambo mengine yatakuchanganya tu, si umesikia utafiti unaosema ni bora kukaa kuliko kusimama. Ukisimama mgongo unauma zaidi na uzito utaongezeka zaidi.

Si mnajua sisi wa 'mjini' mlo tukienda kula out unakuwa na hatua nne, a four course meal tunaanza na supu, au salad afu tunaagiza appetizer kisha main chick (course) na tunamaliza na dessert. Na kwa hulka za anko wangu mimi yeye mlo wake una course mbili tu main chick na side chick, hatak mchezo mambo ya dessert sijui saladi hapendi yeye ni nyama kwa nyama maana sio vegetarian. Hongera kwetu wazee wa nyama kwa nyama.

Muziki sasa, leo nakupandishia muziki wa kizazi kipya. Utaniwia radhi maana Ijumaa huwa ni siku ya bakulutu lakini aunty yangu Shunie kaomba kudhamini nyimbo nami bila hiyana wala mizengwe naupandisha wimbo uliochaguliwa kuwa wimbo wetu wa leo. Songi hili limeelekezwa kwake lee empire lakini tuseme ukweli, kizuri si unakula na nduguzo? Msiseme nawakaribisha.

 
Muziki: Furahiday ya Main Chick Sio Side Chick

Ni Ijumaa nzuri naamini kwako Kapuku mheshimika, uzuri wa Ijumaa kwa upande wangu ndo siku pekee ambayo huwa sipokei shikamoo, nakuwa casual na uchovu wote wa wiki nzima naucompensate leo kwa kinywaji, mishkaki na zaidi bakulutu. Muziki huongeza siku za kuishi, amini hilo, mambo mengine yatakuchanganya tu, si umesikia utafiti unaosema ni bora kukaa kuliko kusimama. Ukisimama mgongo unauma zaidi na uzito utaongezeka zaidi.

Si mnajua sisi wa 'mjini' mlo tukienda kula out unakuwa na hatua nne, a four course meal tunaanza na supu, au salad afu tunaagiza appetizer kisha main chick (course) na tunamaliza na dessert. Na kwa hulka za anko wangu mimi yeye mlo wake una course mbili tu main chick na side chick, hatak mchezo mambo ya dessert sijui saladi hapendi yeye ni nyama kwa nyama maana sio vegetarian. Hongera kwetu wazee wa nyama kwa nyama.

Muziki sasa, leo nakupandishia muziki wa kizazi kipya. Utaniwia radhi maana Ijumaa huwa ni siku ya bakulutu lakini aunty yangu Shunie kaomba kudhamini nyimbo nami bila hiyana wala mizengwe naupandisha wimbo uliochaguliwa kuwa wimbo wetu wa leo. Songi hili limeelekezwa kwake lee empire lakini tuseme ukweli, kizuri si unakula na nduguzo? Msiseme nawakaribisha.


Huyu mauasami sura yake na sauti ni watu wawili tofauti kabisa!!
 
Muziki: Furahiday ya Main Chick Sio Side Chick

Ni Ijumaa nzuri naamini kwako Kapuku mheshimika, uzuri wa Ijumaa kwa upande wangu ndo siku pekee ambayo huwa sipokei shikamoo, nakuwa casual na uchovu wote wa wiki nzima naucompensate leo kwa kinywaji, mishkaki na zaidi bakulutu. Muziki huongeza siku za kuishi, amini hilo, mambo mengine yatakuchanganya tu, si umesikia utafiti unaosema ni bora kukaa kuliko kusimama. Ukisimama mgongo unauma zaidi na uzito utaongezeka zaidi.

Si mnajua sisi wa 'mjini' mlo tukienda kula out unakuwa na hatua nne, a four course meal tunaanza na supu, au salad afu tunaagiza appetizer kisha main chick (course) na tunamaliza na dessert. Na kwa hulka za anko wangu mimi yeye mlo wake una course mbili tu main chick na side chick, hatak mchezo mambo ya dessert sijui saladi hapendi yeye ni nyama kwa nyama maana sio vegetarian. Hongera kwetu wazee wa nyama kwa nyama.

Muziki sasa, leo nakupandishia muziki wa kizazi kipya. Utaniwia radhi maana Ijumaa huwa ni siku ya bakulutu lakini aunty yangu Shunie kaomba kudhamini nyimbo nami bila hiyana wala mizengwe naupandisha wimbo uliochaguliwa kuwa wimbo wetu wa leo. Songi hili limeelekezwa kwake lee empire lakini tuseme ukweli, kizuri si unakula na nduguzo? Msiseme nawakaribisha.

I wanna be your Main chick
Nakupenda, Nakupenda
I wanna be your Main chick
Nakupenda, Nakupenda
Or let me be the main chick
Nakupenda, Nakupenda
I wanna be your main chick


Nakupenda, nakupenda
Nakupa jina we ndio mume wangu
We ni nyongo
Mkalia ini langu
Nafsi yangu imeridhia
Sitokimbia
Nitazikwa na wewe Baba D ukufikie jamaan ulipo nakupenda mimi

Binamu Obe santeee pamoja na kwamba umevuruga vuruga hapo juu kama kawaida yako ndio binamu yake akee baba d wangu mm
 
I wanna be your Main chick
Nakupenda, Nakupenda
I wanna be your Main chick
Nakupenda, Nakupenda
Or let me be the main chick
Nakupenda, Nakupenda
I wanna be your main chick


Nakupenda, nakupenda
Nakupa jina we ndio mume wangu
We ni nyongo
Mkalia ini langu
Nafsi yangu imeridhia
Sitokimbia
Nitazikwa na wewe Baba D ukufikie jamaan ulipo nakupenda mimi

Binamu Obe santeee pamoja na kwamba umevuruga vuruga hapo juu kama kawaida yako ndio binamu yake akee baba d wangu mm



Asante aunt yangu mwenyewe, ukipendacho wewe mjomba anapenda

Nimevuruga vuruga Nini tena jama, mbona nimefanya kile ulichoniagiza
 
Tundu lisu ametolewa katika chumba cha upasuaji baada ya masaa 8 ya kutoa risasi 25 mwilini mwake zilizopigwa na wapinzani wake kisiasa

Tuendelee kumuombea tundu lisu Mungu ayaponye majeraha yake kwa haraka

PRAY FOR TUNDU LISU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom