Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Shululu Wa tumosa
Shululu Wa tumosa
MarhabaaJambo babu shikamoo
Kama kawaida yakoNakula viporooo
Kwamba sikulala nyumban au ???
Unataka shululu na mwenzake wapatee cha kuongeaaa
♀♀♀♀♀♀♀

DuuuHalaf nimekukuta sehem nimecheka.kwa wenye misambwanda wanatoa harufu eti inawezekana kweli nimeogopa tu kukuquote kwenye Uzi wa watu
Kibishi wewe lohUtakuwa uliamkia kule baba d sio kwa alfajir ile

Comment ya jumatano hii wewe..Watu na mashem wao

Mimi nashangaa tuu aisee..Hivi we mpendwa wa binamu ulikua wapi siku zote kuja kufukua viporo leo achana na hizo mambo skip tu
Ni sheeda aiseeMimi nashangaa tuu aisee..
Tuna group letu la whatsapp la story tuma hela tukuunge elf 10 kwa mwezi hakuna cha bure![]()

Aiseee yaan weweKibishi wewe loh![]()
Tuma hela acha kukodoa macho hakuna cha bure
Ewaaaaaa basi download huko huku baba d ataweka akipata nafasiacha wanaotoa hela kwa group wapate mavitu kila siku

DuuuWhal a gwaniii maa nig
Risas 25...... ?Tundu lisu ametolewa katika chumba cha upasuaji baada ya masaa 8 ya kutoa risasi 25 mwilini mwake zilizopigwa na wapinzani wake kisiasa
Tuendelee kumuombea tundu lisu Mungu ayaponye majeraha yake kwa haraka
PRAY FOR TUNDU LISU