Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaan shemela tulikua wadogo kuna rafiki yetu mmoja tulienda kwao akatuambia baba kanunua kanda ya video ya popo bawa akaiiba tuione nje

Kipindi hiko hakunaga DVD basi kututolea sijui inasema popo bawa kaonekaa znz ni ya maelezo yake tu sasa sisi kuonyeshwa cover popobawa anaruka hivi ana jicho moja acha tukimbie shemela [emoji1][emoji1] utoto bana
Sisi tulilala njee mbagalaa tena kwenye mikeka nakwambia

Sitasahau kwa kweli!!!
 
mmmh, ile saa acheni tu jamani, sasa usisahau kumtaarifu BH kuhusu mimi kuwa mmiliki wa Samsung Galaxy.

Sijajua ni toleo gani, haya mambo bhana inahitaji muda? Afu ujue inaweza kufanya screenshot, unabonyeza cha kuzimia na kuongezea sauti mara unasikia chwaaaaaa, ndo tayari tena

Natest tu mitambo kwa sasa hivi
🙂😉😀😵

Umeona
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Asante kwa kuipenda!

Unajua namna ya kujiunga na kifurushi cha chuo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simu ya galaxy unaulizia mambo ya vifurushi vya chuo binamu simu umenunua bei gani kwani mpaka ushindwe kujiunga bundle la mwezi
 
mmmh, ile saa acheni tu jamani, sasa usisahau kumtaarifu BH kuhusu mimi kuwa mmiliki wa Samsung Galaxy.

Sijajua ni toleo gani, haya mambo bhana inahitaji muda? Afu ujue inaweza kufanya screenshot, unabonyeza cha kuzimia na kuongezea sauti mara unasikia chwaaaaaa, ndo tayari tena

Natest tu mitambo kwa sasa hivi
🙂😉😀😵

Umeona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli galaxy mpaka emoji umeweza kuweka binamu halaf galaxy haina screenshot ya hivyo binamu ujue cha kuzimia na kuongeza sauti hiyo itakuwa tekno. [emoji1][emoji1]
 
Mmenikumbusha nyiee watu tulilala nje wiki nzima tena chini kwenye mikeka km tuko matangani vilee[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kisa popobawa!!
Sisi tulilala njee mbagalaa tena kwenye mikeka nakwambia

Sitasahau kwa kweli!!!
Acha tu watu walikimbia kulala ndani kwao popo bawa jamaan mara ukikutana nae utoke utangaze siku 7 [emoji1][emoji1] mtu una watoto na mke usipotangaza sijui unakufa sijui anakuja tena woiiii
 
[emoji524] Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike milele, kwa haki yako uniponye

Unitegee sikio lako, uniokoe hima uwe kwangu mwamba wa nguvu, Nyumba yenye maboma ya kuniokoa[emoji524]

ZABURI 31:1-2

MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU NA MBARIKIWE [emoji7] [emoji120]
 
Acha tu watu walikimbia kulala ndani kwao popo bawa jamaan mara ukikutana nae utoke utangaze siku 7 [emoji1][emoji1] mtu una watoto na mke usipotangaza sijui unakufa sijui anakuja tena woiiii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] imebaki story now
 
[emoji524] Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike milele, kwa haki yako uniponye

Unitegee sikio lako, uniokoe hima uwe kwangu mwamba wa nguvu, Nyumba yenye maboma ya kuniokoa[emoji524]

ZABURI 31:1-2

MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU NA MBARIKIWE [emoji7] [emoji120]
Amin
 
[emoji524] Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike milele, kwa haki yako uniponye

Unitegee sikio lako, uniokoe hima uwe kwangu mwamba wa nguvu, Nyumba yenye maboma ya kuniokoa[emoji524]

ZABURI 31:1-2

MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU NA MBARIKIWE [emoji7] [emoji120]
Amen
 
Back
Top Bottom