Makapuku Forum

Makapuku Forum

MAMBO 5 YA KUZINGATIA WAKATI WA KUTUMIA FIMBO.
SEMINA YA MALEZI YA WATOTO!
1. Unamchapa mtoto wapi (Maeneo gani katika mwili).

2. Unamchapa mtoto na nini? (Unatumia kifaa gani kumchapia mtoto)
• Usimpige mtoto kwa mikono (Kibao)
• Usimpige mtoto kwa mateke.
• Usimpige mtoto kwa kichwa.
• Wengine hutumia gongo.
• Wengine hutumia Rungu.
• Wengine hutumia kisu.
• Wengine hutumia mtwangio.
• Wengine hutumia maji ya moto.
• Wengine Kamba kuwafungia watoto kwenye miti kama adhabu.

3. Unamchapa mtoto wakati gani?
• Usimchape mtoto wakati ukiwa na hasira.
• Usimchape mtoto mbele ya wageni au rafiki zake jirani.
• Usimchape mtoto mara kwa mara kila dakika unachapa mtoto atazoea fimbo na haitaweza kufagia tena tabia zake mbaya.
• Usimchape mtoto akiwa usingizini.
• Usimchape mtoto akiwa hajala yaani akiwa na njaa kali.

4. Usimchape mtoto kabla ya kumpa onyo la mdomo.
• Tanguliza kwanza onyo dogo
• Fuatia na onyo la kati
• Onyo kali

5. Usimchape mtoto kwa kumuonea au bila kuwa na uhakika wa kosa lake.
• Chunguza sababu za kumchapa mtoto kamani za hakika kabla ya kumchapa.

• Usimchape mtoto kwa taarifa za kusikia tu ambazo huzazithibitisha.

• Usimchape mtoto kwa kumuonea.
Wakati mwingine anaweza kuwa amesingiziwa na baba au mama wa kambo.

Wakati mwingine anaweza kuwa amesingiziwa na watoto wenzake ile achapwe.

Wakati mwingine anaweza kuwa amesingiziwa na dada wa kazi au marafiki zake kwa sababu zao.
 
Walevi buana
e8d50c938bcb21f2e390b7a03e76d05e.jpg
 
220a05f126a8220a7cccf2d906cd631d.jpg
e4e962b69857fffe8509f50dfdb91181.jpg

Kuna watu hawali maharage kisa tu wanadai ni chakula cha hadhi ya chini
Unajidanganya mwenyewe
Maharage yanafaida kubwa katika mwili wa binadamu
Sote tunajua ukila maharage unapata vifuatavyo

Fiber
Kopa
Folate
Chuma
Magnesium
Manganese
Phosphorus
Potassium

Lakini ukiacha hayo maharage hutibu magonjwa ya moyo, kisukari, na saratani

Kula maharage ndugu yangu

Mara nyingi vitu vya bei ya chini vina faida sana kwenye miili yetu
 
MAMBO 5 YA KUZINGATIA WAKATI WA KUTUMIA FIMBO.
SEMINA YA MALEZI YA WATOTO!
1. Unamchapa mtoto wapi (Maeneo gani katika mwili).

2. Unamchapa mtoto na nini? (Unatumia kifaa gani kumchapia mtoto)
• Usimpige mtoto kwa mikono (Kibao)
• Usimpige mtoto kwa mateke.
• Usimpige mtoto kwa kichwa.
• Wengine hutumia gongo.
• Wengine hutumia Rungu.
• Wengine hutumia kisu.
• Wengine hutumia mtwangio.
• Wengine hutumia maji ya moto.
• Wengine Kamba kuwafungia watoto kwenye miti kama adhabu.

3. Unamchapa mtoto wakati gani?
• Usimchape mtoto wakati ukiwa na hasira.
• Usimchape mtoto mbele ya wageni au rafiki zake jirani.
• Usimchape mtoto mara kwa mara kila dakika unachapa mtoto atazoea fimbo na haitaweza kufagia tena tabia zake mbaya.
• Usimchape mtoto akiwa usingizini.
• Usimchape mtoto akiwa hajala yaani akiwa na njaa kali.

4. Usimchape mtoto kabla ya kumpa onyo la mdomo.
• Tanguliza kwanza onyo dogo
• Fuatia na onyo la kati
• Onyo kali

5. Usimchape mtoto kwa kumuonea au bila kuwa na uhakika wa kosa lake.
• Chunguza sababu za kumchapa mtoto kamani za hakika kabla ya kumchapa.

• Usimchape mtoto kwa taarifa za kusikia tu ambazo huzazithibitisha.

• Usimchape mtoto kwa kumuonea.
Wakati mwingine anaweza kuwa amesingiziwa na baba au mama wa kambo.

Wakati mwingine anaweza kuwa amesingiziwa na watoto wenzake ile achapwe.

Wakati mwingine anaweza kuwa amesingiziwa na dada wa kazi au marafiki zake kwa sababu zao.
Sawa mjukuu wangu... Hujambo lakini
 
220a05f126a8220a7cccf2d906cd631d.jpg
e4e962b69857fffe8509f50dfdb91181.jpg

Kuna watu hawali maharage kisa tu wanadai ni chakula cha hadhi ya chini
Unajidanganya mwenyewe
Maharage yanafaida kubwa katika mwili wa binadamu
Sote tunajua ukila maharage unapata vifuatavyo

Fiber
Kopa
Folate
Chuma
Magnesium
Manganese
Phosphorus
Potassium

Lakini ukiacha hayo maharage hutibu magonjwa ya moyo, kisukari, na saratani

Kula maharage ndugu yangu

Mara nyingi vitu vya bei ya chini vina faida sana kwenye miili yetu
Wengi wanakwepa kitu cha yusuuffff!
 
Muziki: Jumatatu ya Teknolojia

Ninajiaminisha kuwa Kapuku, yes, wewe unayenisoma muda huu, umekuwa na Jumatatu nzuri kabisa na hasa kwa kuwa kuanzia Ijumaa ilikuwa ni mapumziko mazuri ya Eid ambayo kiukweli hayakuendana na mialiko tuliyoizoea awamu zilizopita. Yote kheri tu na maisha yanasonga.

Asante kwa wote mnaolifanya Jukwaa hili kuwa sehemu nzuri ya kufurahia, kujifunza, kufundishana na zaidi kupata maarifa, tunafanya vizuri hadi nahisi tukiendelea hivi majukwaa mengine yatakufa. Ha ahahaha, unacheka kwa sababu unajua haiwezekani, lol, inawezekana sana tu maana kuwepo kwako hapa ni sababu tosha kabisa ya kuyatia 'joto' majukwaa mengine. Asante kwa kuwepo hapa.

Muziki sasa, teknolojia ina mammbo mazuri lakini usisahau kuwa inaweza leta mambo yasiyosahihi cha msingi ni wewe mtumiaji kujitambua na kuifanya teknolojia. Kwanini ninaandika haya, mnajua napenda kushare, well, sio kuwapa nilichonacho bali nawajulisha tu nimenunua Samsung Galaxy new model, naamini suala la emoji halitanisumbua tena. Ungana nami kwenye kufurahia manunuzi ya simu mpya, na kama unajua kujiunga na kifurushi cha chuo please nielekeze

 
Muziki: Jumatatu ya Teknolojia

Ninajiaminisha kuwa Kapuku, yes, wewe unayenisoma muda huu, umekuwa na Jumatatu nzuri kabisa na hasa kwa kuwa kuanzia Ijumaa ilikuwa ni mapumziko mazuri ya Eid ambayo kiukweli hayakuendana na mialiko tuliyoizoea awamu zilizopita. Yote kheri tu na maisha yanasonga.

Asante kwa wote mnaolifanya Jukwaa hili kuwa sehemu nzuri ya kufurahia, kujifunza, kufundishana na zaidi kupata maarifa, tunafanya vizuri hadi nahisi tukiendelea hivi majukwaa mengine yatakufa. Ha ahahaha, unacheka kwa sababu unajua haiwezekani, lol, inawezekana sana tu maana kuwepo kwako hapa ni sababu tosha kabisa ya kuyatia 'joto' majukwaa mengine. Asante kwa kuwepo hapa.

Muziki sasa, teknolojia ina mammbo mazuri lakini usisahau kuwa inaweza leta mambo yasiyosahihi cha msingi ni wewe mtumiaji kujitambua na kuifanya teknolojia. Kwanini ninaandika haya, mnajua napenda kushare, well, sio kuwapa nilichonacho bali nawajulisha tu nimenunua Samsung Galaxy new model, naamini suala la emoji halitanisumbua tena. Ungana nami kwenye kufurahia manunuzi ya simu mpya, na kama unajua kujiunga na kifurushi cha chuo please nielekeze

Binamuuuuuuuuuuuuuuu santeeeee
Napendaga tu nyimbo zake tekno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom