shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nzuri shemela, D hajamboSalama shemela za wewe jaman
Nzuri shemela, D hajamboSalama shemela za wewe jaman
Morning too, za dom mdauMorning mkuu!
Ajambo shemela sijui wakina jjNzuri shemela, D hajambo
Amen,nawe uwe na cku njema mtumishiBwana Mungu wangu ikiwa nimetenda haya ikiwa mna uovu mikononi mwangu
Ikiwa nimemlipa mabaya yeye aliyekaa kwangu salama (hasha nimemponya yeye aliyekuwa mtesi wangu bila sababu)
ZABURI 7:3-4
MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU MBARIKIWE SANA![]()
![]()
Dom kwema tuko mkao wa kula Bunge linaanza kesho huenda vipato vyetu vikaimarika!Morning too, za dom mdau
Wako poa kabisaAjambo shemela sijui wakina jj
Asante dumejeuriAmen,nawe uwe na cku njema mtumishi
Bunge la kipato lilikuwa enzi za JKDom kwema tuko mkao wa kula Bunge linaanza kesho huenda vipato vyetu vikaimarika!
Muziki Jumapili: Family Day
Hakuna ubishi kuwa Jumapili ni siku ya familia, tunakaa pamoja kuongea na mara zote hii huwa ni siku ambayo wote tunakaa mezani kula na kunywa pamoja. Ni wakati huu ambapo maswali huulizwa, majibu hutolewa na ukweli ni mwingi kuliko uongo, uongo? Siongopi na ninasema kweli kabisa kuwa salamu ni nusu ya kuonana na ndiyo maana ninakusalimia Kapuku muheshimika sana, u khali gani? Wiki ndo inaanza, juma la kwanza la mwezi mbichi kabisa wa Kenda.
Jumapili hatuna maneno mengi, tunaburudika tu na muziki maana leo ni siku ya familia na sisis kama familia ya Makapuku tuburudike pamoja.
Aksante mkuu... BarikiwaGood morning wakuu....mwanzo wa wiki ndo huu tunauanza na mwezi mbichi kabisa ...muhimu kutumia vizuri mda wetu hope mambo yote yatanyooka kama kawaida .....
Soon UF
Barikiwa dadaBwana Mungu wangu ikiwa nimetenda haya ikiwa mna uovu mikononi mwangu
Ikiwa nimemlipa mabaya yeye aliyekaa kwangu salama (hasha nimemponya yeye aliyekuwa mtesi wangu bila sababu)
ZABURI 7:3-4
MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU MBARIKIWE SANA![]()
![]()
Bwana Mungu wangu ikiwa nimetenda haya ikiwa mna uovu mikononi mwangu
Ikiwa nimemlipa mabaya yeye aliyekaa kwangu salama (hasha nimemponya yeye aliyekuwa mtesi wangu bila sababu)
ZABURI 7:3-4
MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU MBARIKIWE SANA![]()
![]()
amina