Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kk Obe Mungu akubariki sn kwan umenikumbusha miongo kadhaa nyuma enzi zile niko Mwenge Sec. wkt wenzangu wanakomaa kumskiliza xzibit na ngoma yake paparaz ama 2pac Omar shakur na ngoma yake ya baby don't cry mi nilikua naburudika na mziki mtam wa mjombaangu R.kell stom is over ama l wish if l could turn back hand of time!
Ahsante sn comrade!!
Asante kushukuru mdau! Ila naamini na wewe ni muhenga mwenzangu japo nimekuzidi kidogo 🙂

Turn back hand of time ni ngoma nzuri ya muda wote. Nitaibandika siku moja humu.
Usiku mwema
 
27278d74d91ec6ea688c7c8e71982004.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom