Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki Jumapili: Family Day

Hakuna ubishi kuwa Jumapili ni siku ya familia, tunakaa pamoja kuongea na mara zote hii huwa ni siku ambayo wote tunakaa mezani kula na kunywa pamoja. Ni wakati huu ambapo maswali huulizwa, majibu hutolewa na ukweli ni mwingi kuliko uongo, uongo? Siongopi na ninasema kweli kabisa kuwa salamu ni nusu ya kuonana na ndiyo maana ninakusalimia Kapuku muheshimika sana, u khali gani? Wiki ndo inaanza, juma la kwanza la mwezi mbichi kabisa wa Kenda.

Jumapili hatuna maneno mengi, tunaburudika tu na muziki maana leo ni siku ya familia na sisis kama familia ya Makapuku tuburudike pamoja.


Kk Obe Mungu akubariki sn kwan umenikumbusha miongo kadhaa nyuma enzi zile niko Mwenge Sec. wkt wenzangu wanakomaa kumskiliza xzibit na ngoma yake paparaz ama 2pac Omar shakur na ngoma yake ya baby don't cry mi nilikua naburudika na mziki mtam wa mjombaangu R.kell stom is over ama l wish if l could turn back hand of time!
Ahsante sn comrade!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom