Makapuku Forum

Makapuku Forum

d19540c8f5be9c0b15271bdf4bba5cb4.jpg
 
....mimi anko wangu siwezi kumvunjia heshima hata kidogo, kwanza ndo alinileta mjini na nikakaribishwa na shululu enzi hizo anamfukuzia Tumosa na nikampenda BlessedHope akanipa ngumi ya chembe nikaona isiwe taabu, nikaongea na Shunie na limjomba langu lee empire enzi hizi anko anavinjari na CM, nikawaambia jamani mimi mpwawenu domo zege na so fanyeni michakato, mara paaa husna muba akanitunuku penzi wakati huo Transcend anamtumia maua Sakayo huku kile kibabu Asprin kikimmegea pesa za pensheni.
imebidi nicheke tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom