Mkuu niko poaaMkuu salamu zako
DJ sepetu
Jana nililala early ndo nimeicheki now!Mkuu niko poaa
Haaaaahaaaa duh
Hizi mpaka leo bado zipo
Data center
Mara ya mwisho janahusna ushawahi kojozwaaaa.......
sikupatii picha ulivyo mwepesi hapo.... kwa kuwa kumekucha sasa mjadala utaendelea baadae jioniii🙄🙄🙄Mara ya mwisho jana
....mimi anko wangu siwezi kumvunjia heshima hata kidogo, kwanza ndo alinileta mjini na nikakaribishwa na shululu enzi hizo anamfukuzia Tumosa na nikampenda BlessedHope akanipa ngumi ya chembe nikaona isiwe taabu, nikaongea na Shunie na limjomba langu lee empire enzi hizi anko anavinjari na CM, nikawaambia jamani mimi mpwawenu domo zege na so fanyeni michakato, mara paaa husna muba akanitunuku penzi wakati huo Transcend anamtumia maua Sakayo huku kile kibabu Asprin kikimmegea pesa za pensheni.
imebidi nicheke tuha ahahahah, not really! Anko wangu yeye anapendaga shanga 700, Shululu yeye akasema 1500, hizo 2000 anaweza kuwa labda mzeewakungoa
we unapendaga ngapi?!
ila ya kuforce hiyo jamanii.... baadae nitakufuata PM tuyamalize vizuriiii 🙂🙂
