Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Pole ya nini sasa.Pole na hongera
Sema HONGERA.
Pole ya nini sasa.Pole na hongera
HONGERAPole ya nini sasa.
Sema HONGERA.
Asante bro.HONGERA
Endelea na maombi yako tena kesha kabisa kijana.Asante bro.
Natumai siku si nyingi utaungana na mimi.
Unajua brother maisha ya ubachelor raha sana yani nakuone huruma.Endelea na maombi yako tena kesha kabisa kijana.
Hehehe basi kama halina dalili ya kukamilika sisi wapaka rangi bado tupo tupo sanaHahaaaa
Wii Taifa lenyewe since limeanza kujengwa had leo halina dalili ya kukamilika...![]()
Sitaki huruma yako wala ya MTU yoyote humu ndani. Kama wewe ulishindwa ni wewe kijanaUnajua brother maisha ya ubachelor raha sana yani nakuone huruma.![]()
Usije sema sikusema.Sitaki huruma yako wala ya MTU yoyote humu ndani. Kama wewe ulishindwa ni wewe kijana
Tatizo lako nini?Usije sema sikusema.
Miss you kaka akeHajambo kabisa. Vipi yule mzima?
Miss you sana. Dada uko poa?Miss you kaka ake
We endelea kulea ndoa bro.Tatizo lako nini?
Niko poa, nakomaa tu majukumuMiss you sana. Dada uko poa?
Nitaendelea ndioWe endelea kulea ndoa bro.
youngblood hujambo?We endelea kulea ndoa bro.
Kukomaa muhimu sanaNiko poa, nakomaa tu majukumu
Poa usisahau kutuletea mrejesho hapa.Nitaendelea ndio
Sijambo kabisa sister.youngblood hujambo?