Karibu mkuu.....Kabisa kabisa lakini younblood nataka kuuliza
Kwanini majukwaa mengine hutenga wenzao?Karibu mkuu.....
Ujuaji mwingi sana.Kwanini majukwaa mengine hutenga wenzao?
Yaani dah hata ukipost cha maana utakosolowa kishenziUjuaji mwingi sana.
Watu wanadhani JF wamezaliwanayo......
Hii nimeipenda mkuu.
Yes.Yaani dah hata ukipost cha maana utakosolowa kishenzi
Good morning brother.How many of us love but we stay apart?
Goodmorning to you all friend
Salama tu kaka. Hope uko poaGood morning brother.
Habari ya asubuhi.
Unaweza kukoment kama kawaida lakini wakileta hoja za kipuuzi potezea,ukishindana utaambulia BAN mkuu.Yaaji bora ukasome nyuzi zao tu
Niko vizuri kabisa brother.Salama tu kaka. Hope uko poa
Sio anasaidia sema Mungu anawezaNiko vizuri kabisa brother.
Mungu anasaidia.
Moderator wanakufungia kupost kitu kwa muda flani au permanently.Hujue mii hiyo BAN siijui ebu nifahamishe
Hahaha.Sio anasaidia sema Mungu anaweza
Aaaaaaah kumbe duhModerator wanakufungia kupost kitu kwa muda flani au permanently.
Kila jambo, za toka JanaHahaha.
Sawa brother MUNGU ANAWEZESHA.