shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Shemela jina lako gumu kuandika eheeDada akee mimi shunii mwenyewe unaniita nani vileee
Shemela jina lako gumu kuandika eheeDada akee mimi shunii mwenyewe unaniita nani vileee
AmenNawasalimu katika jina la Bwana Yesu kristo lipitalo majina yote
Kwani uongonimecheka sana aisee
Unamjua kipa mmoja hivi alikuwa anaitwa bahatisha nduruteWanamwita nani vileeeee huyo cheusi mangala![]()
Ebu ngoja kwanza nawaza tu apa ulijuajeeeKwani uongo

Heineken hii aki kabisaMgunoooo veeeep dada anaitwa rlukaku
Alikuwa hapa anagawa vinywaji Sijui kaelekea wapiiiNakupenda mimi jamaan roho yake T shem wangu mimi apa peke yangu kwa dada sakayo hivi yuko ap lakini
Marahabaaa shemela wanguShikamoo shemela wangu mie apa
Ana nini shemelaUnamjua kipa mmoja hivi alikuwa anaitwa bahatisha ndurute
Umesahau ulinitumia negativeEbu ngoja kwanza nawaza tu apa ulijuajeee![]()
Ebu niitie akuje haraka mwambie aniletee kachupa ka kijani kadogo hivii cha baridiiiAlikuwa hapa anagawa vinywaji Sijui kaelekea wapiii
Hayo majina unavyoandika, kuna kitu kichwani shemela sio bure![]()
![]()
shemela acha kukariri
Mzima jaman nimekumiss tu mimiMarahabaaa shemela wangu
Umesahau ulinitumia negative






mwehu wewe negative kwan sie tuna studio ya kusafisha
Mimi mzima kabisa shemela wa mimi, D hajamboMzima jaman nimekumiss tu mimi
Binamu obe au shemela shululu naombeni nyimbo mie ya fally ipupa eloko oyo najiskia tu kucheza cheza tu hiyo nyimbo