Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Mdogo wangu wa dar....Dada akee mimi shunii mwenyewe unaniita nani vileee
Mdogo wangu wa dar....Dada akee mimi shunii mwenyewe unaniita nani vileee
HallelujahNawasalimu katika jina la Bwana Yesu kristo lipitalo majina yote
Woyoooooooo
Naona kiburi kimeishaNawasalimu kwa awamu ya pili kwa udhamini mkubwa wa man u watoto wa old trafford
MmmmhWanamwita nani vileeeee huyo cheusi mangala![]()
Dada angu mie apa shuniii kibonge nakupenda jamaan Mungu azidi kuniwekea sakayo nikilia tunalia wote nikicheka tunacheka wote acha niendelee tu kukupenda mimi jamaanMdogo wangu wa dar....

AmeeeeenHallelujah
Dada jamaan naanzaje kukufanyia kiburi jamaan usinifanyie hivyo wanitenge wote ila sio weweNaona kiburi kimeisha
Mgunoooo veeeep dada anaitwa rlukakuMmmmh
Nakupenda pia mdogo wangu KibongeDada angu mie apa shuniii kibonge nakupenda jamaan Mungu azidi kuniwekea sakayo nikilia tunalia wote nikicheka tunacheka wote acha niendelee tu kukupenda mimi jamaan![]()
HahahaDada jamaan naanzaje kukufanyia kiburi jamaan usinifanyie hivyo wanitenge wote ila sio wewe
Nakupenda pia mdogo wangu Kibonge


nimekuja jamaan sio kwa vitisho vile dada jamanAiseeeeMgunoooo veeeep dada anaitwa rlukaku
Nakupenda mimi jamaan roho yake T shem wangu mimi apa peke yangu kwa dada sakayo hivi yuko ap lakiniHahaha
Una ogopa kutengwa eeehh... Mie siweziiii kukutenga jamanii.... Naanzzaje kwa mfano

Shikamoo shemela wangu mie apa