Makapuku Forum

Makapuku Forum

5/ je wamjua mtu mwenye ulimi mrefu zaidi duniani?

Anaitwa Nick Stoeberl akitokea California ana ulimi wa 10.10 cm

View attachment 570021

Alivunja rekodi hii ya World Largest Records akiwa na miaka 24 November 2012

Mwenye anakwambia hana shida ya tissue wala kitambaa kujifuta endapo anakula hutumia tu ulimi wake kulamba hicho cha kula kilichomnatia

Hutumia muda mrefu zaidi asubuhi wakati wa kusafisha kinywa na hutenga muda kwa ajili ya kuusafisha ulimi wake tu

Asanteni kwa muda wenu
Tukutane jumatatu Mungu akipenda kwa je wajua zingine kali na zilizobamba

Madame S
Shukrani madame S
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom