Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170819-WA0004.jpg
 
Hope kila mmoja ni mzima wa afya na kila alokuwa na maradhibas Allah amfanyie tahfif apone upesi maradhi yake karibuni katika je wajua


1/ waswahili ama wahenga wanamsemo wao kwamba ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Je wajua mtu alietumia muda mrefu zaidi kukaa ndani ya jeneza na kufukiwa chini kama mtu aliyefariki il hali yakuwa yu hai?

IMG_20170818_093925_730.JPG


Ni bwana Zdnek Zahradka raia wa Czech Republic alikaa kwenye jeneza hilo kwa siku kumi, hakua na chakula wala maji zaidi ya msaada wa bomba lilopitishwa kwenye jeneza lake kutokea huku duniani.

Bomba hilo lilimuwezesha kupumua na kuwasiliana na ndugu jamaa pamoja na marafiki walioko huku duniani, alivunja rekodi hii na kuipiku iliyokuwa imevunjwa na aliekaa siku nne tu huko kaburini.

IMG_20170818_094015_227.JPG


Alivunja rekodi hii akiwa na miaka 50, changamoto alizopitia alipoulizwa baadae baada ya kushinda rekodi hii alisema ni kiu ndio kilimsumbua tu

Alipokua huko alikozikwa hai aliulizwa ni yapi au kipi alichokua akikifikiria zaidi na alijibu alikua akifiria zaidi mengi yaliyokua yakiendelea duniani kwa wakati huo, aliongezea kuwa tushukuru kila mda tunaoupata tunapokuwa hai na tuheshim maisha yetu haya tunayoyaishi

Mkewe bi Alena aliulizwa wakati mumeo anatarajia kufanya haya wewe uliipokeaje hii tarifa, akijibu niligoma na kukataa na sikutaka afanye alichofanya kabisa lakini kwa kua ameshinda na kufanikiwa nimefurahia ushindi wake (rekodi alioiweka)

Unataka kupungua uzito kwa haraka? Madaktari walithibitisha bwana Zdnek alipoteza kg 9 alipotolewa kwenye jeneza

Hii inakua ni rekodi yake ya pili kuweka historia duniani baada ya ile ya kwanza ya mwaka 1979 alioshinda akiwa ni mtu wa kwanza kuweza kumeza panga lenye urefu wa 55 cm

Hapa akimeza panga hilo kama inavyoonekana kwa picha

IMG_20170818_094030_995.JPG


Hapa panga likiwa limeingia lote kabisa

IMG_20170818_094044_369.JPG






Madame S
 
2/ je wamjua mtu alievunja rekodi ya kutembelewa au kutambaliwa kwa lugha nyepesi kabisa usoni na konokono wengi?

Ni mwaka 2007 rekodi hii ilivunjwa na Fin Kehler alitambaliwa na konokono wapatao 43 usoni kwa muda wa sekunde 10 na alifanikiwa kuivunja rekodi ya awali iliyovunjwa na mtu alietembelewa na konokono 46 tu

IMG_20170818_093907_751.JPG


Madame S
 
Hope kila mmoja ni mzima wa afya na kila alokuwa na maradhibas Allah amfanyie tahfif apone upesi maradhi yake karibuni katika je wajua


1/ waswahili ama wahenga wanamsemo wao kwamba ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Je wajua mtu alietumia muda mrefu zaidi kukaa ndani ya jeneza na kufukiwa chini kama mtu aliyefariki il hali yakuwa yu hai?

View attachment 570006

Ni bwana Zdnek Zahradka raia wa Czech Republic alikaa kwenye jeneza hilo kwa siku kumi, hakua na chakula wala maji zaidi ya msaada wa bomba lilopitishwa kwenye jeneza lake kutokea huku duniani.

Bomba hilo lilimuwezesha kupumua na kuwasiliana na ndugu jamaa pamoja na marafiki walioko huku duniani, alivunja rekodi hii na kuipiku iliyokuwa imevunjwa na aliekaa siku nne tu huko kaburini.

View attachment 570008

Alivunja rekodi hii akiwa na miaka 50, changamoto alizopitia alipoulizwa baadae baada ya kushinda rekodi hii alisema ni kiu ndio kilimsumbua tu

Alipokua huko alikozikwa hai aliulizwa ni yapi au kipi alichokua akikifikiria zaidi na alijibu alikua akifiria zaidi mengi yaliyokua yakiendelea duniani kwa wakati huo, aliongezea kuwa tushukuru kila mda tunaoupata tunapokuwa hai na tuheshim maisha yetu haya tunayoyaishi

Mkewe bi Alena aliulizwa wakati mumeo anatarajia kufanya haya wewe uliipokeaje hii tarifa, akijibu niligoma na kukataa na sikutaka afanye alichofanya kabisa lakini kwa kua ameshinda na kufanikiwa nimefurahia ushindi wake (rekodi alioiweka)

Unataka kupungua uzito kwa haraka? Madaktari walithibitisha bwana Zdnek alipoteza kg 9 alipotolewa kwenye jeneza

Hii inakua ni rekodi yake ya pili kuweka historia duniani baada ya ile ya kwanza ya mwaka 1979 alioshinda akiwa ni mtu wa kwanza kuweza kumeza panga lenye urefu wa 55 cm

Hapa akimeza panga hilo kama inavyoonekana kwa picha

View attachment 570012

Hapa panga likiwa limeingia lote kabisa

View attachment 570013





Madame S
Duu
 
3/ je wajua mtu alietumia muda mrefu zaid kuchat?

IMG_20170818_093847_920.JPG


Alitumia masaa 96 sawa na siku nne kuchat non stop na rekodi hii ikivunjwa na Norman Perez huko California

Alikua akichat kupitia app ijulikanayo kama Instant Messenger (IM messenger)

IMG_20170818_094000_973.JPG


Madame S
 
Hope kila mmoja ni mzima wa afya na kila alokuwa na maradhibas Allah amfanyie tahfif apone upesi maradhi yake karibuni katika je wajua


1/ waswahili ama wahenga wanamsemo wao kwamba ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Je wajua mtu alietumia muda mrefu zaidi kukaa ndani ya jeneza na kufukiwa chini kama mtu aliyefariki il hali yakuwa yu hai?

View attachment 570006

Ni bwana Zdnek Zahradka raia wa Czech Republic alikaa kwenye jeneza hilo kwa siku kumi, hakua na chakula wala maji zaidi ya msaada wa bomba lilopitishwa kwenye jeneza lake kutokea huku duniani.

Bomba hilo lilimuwezesha kupumua na kuwasiliana na ndugu jamaa pamoja na marafiki walioko huku duniani, alivunja rekodi hii na kuipiku iliyokuwa imevunjwa na aliekaa siku nne tu huko kaburini.

View attachment 570008

Alivunja rekodi hii akiwa na miaka 50, changamoto alizopitia alipoulizwa baadae baada ya kushinda rekodi hii alisema ni kiu ndio kilimsumbua tu

Alipokua huko alikozikwa hai aliulizwa ni yapi au kipi alichokua akikifikiria zaidi na alijibu alikua akifiria zaidi mengi yaliyokua yakiendelea duniani kwa wakati huo, aliongezea kuwa tushukuru kila mda tunaoupata tunapokuwa hai na tuheshim maisha yetu haya tunayoyaishi

Mkewe bi Alena aliulizwa wakati mumeo anatarajia kufanya haya wewe uliipokeaje hii tarifa, akijibu niligoma na kukataa na sikutaka afanye alichofanya kabisa lakini kwa kua ameshinda na kufanikiwa nimefurahia ushindi wake (rekodi alioiweka)

Unataka kupungua uzito kwa haraka? Madaktari walithibitisha bwana Zdnek alipoteza kg 9 alipotolewa kwenye jeneza

Hii inakua ni rekodi yake ya pili kuweka historia duniani baada ya ile ya kwanza ya mwaka 1979 alioshinda akiwa ni mtu wa kwanza kuweza kumeza panga lenye urefu wa 55 cm

Hapa akimeza panga hilo kama inavyoonekana kwa picha

View attachment 570012

Hapa panga likiwa limeingia lote kabisa

View attachment 570013





Madame S
Mh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom