Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/ je wajua mpira mkubwa zaidi uliotengenezwa kwa kutumia rubber band?

Achana na mipira hii ya kawaida tuliowahi kuiona, Joel Waul raia wa United States of America hapa akionekana na mpira alioutengeneza uliovunja rekodi za dunia

Alitumia zaidi ya rubber band 700,000

View attachment 569308

Mpira huu una uzito wa 4,097 kg (9,032 pounds) ulipimwa huko Launder hill, November 13,2008

Wakati anavunja rekodi hii Joel alikua na umri wa miaka 27

View attachment 569310

Madame S
Hii sasa sifa
Kuna watu hutaka tu wakumbukwe kwa nguvu

....
 
Leo katika Historia

1989 - Luis Carlos Galan anauwawa.

Alikuwa ni mgombea Urais mwenye nguvu katika Uchaguzi Mkuu wa Colombia.

Moja kati ya ahadi yake katika kampeni, ilikuwa ni kupambana na mfanyabiashara mashuhuri wa madawa ya kulevya, Pablo Escobar.

Hivyo inaaminika aliuwawa na Pablo Escobar kabla ya Uchaguzi ili asiingie madarakani.
 
2/ pata kufaham maajabu ya dunia nami niko hapa kukujuza zaidi, je wamjua mbwa mwenye masikio marefu zaidi duniani

Anaitwa Tigger bloodhound masikio yake yana urefu wa 34.92 cm (13.75 inches) masikio yote mawili kulia na kushoto

View attachment 569318

Mbwa buyu alikua akimilikiwa na Bw. Bryan pamoja na mkewe Bi. Christina wa huko St Joseph, III

View attachment 569324

Kwa bahati mbaya mbwa huyu alifariki mwaka 2009 baada ya kuingia rasmi kwenye kitabu maarufu cha orodha duniani "Guiness Book of Records" 29 September 2004

Madame S
Kumbe masikio ya Pogha mafupi sana

......
 
Leo katika Historia

2008 - Rais Pervez Musharaf wa Pakistan, analazimishwa kujiuzulu wadhifa wa Urais wa nchi hiyo.

Licha ya kuwa Rais, pia alikuwa ni Jenerali katika Jeshi la Nchi hiyo.
 
3/ je wajua pizza kubwa zaidi duniani?

View attachment 569325


Eneo la mzunguko wa pizza hii ulikua na ukubwa upatao 1,261.65 square meters sawa na (13,580.28 square feets) iliyoandaliwa na Dovillo Nardi, Andrea Mannocchi, Marco Nardi, Mattlo Nardi, na Matteo Giannotte (wote wakiwa wanatokea Italy) sehem inaitwa Fiera Roma huko Rome, Italy

Pizza hii ilioewa jina la "Ottavia" likiwa na maana ya "watoto wa kiume saba"


Pizza hii pia, iliingia rasmi Guinness Book of Records 13 December 2012

Madame S
Walafi mate nje
Wakiongozwa na Jimena


.......
 
Leo katika Historia

1933 - Just Fontaine anazaliwa.
Ni straika wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ufaransa.
Anashikilia rekodi ya kufunga magoli 13 katika michezo 6 aliyocheza ya kombe la Dunia, katika michuano iliyofanyika pale Sweden mwaka 1958.
Alishiriki kombe la Dunia mara moja na Kufunga goli 13. Ni rekodi ya pekee.
 
4/ achana na mashindano ya kuendesha baiskeli tunayoyaona kila leo, je wamjua alievunja rekodi ya dunia kwa kuendesha baiskeli chini ya maji?

View attachment 569340

Si mwengine bali ni bw. Vittorio Innocente, huko Santa Marghenta Ligure, Liguria, Italy (loh mjini kuna miji jamani )

Alivunja rekodi hii akiwa na miaka 62, umbali alioundesha chini ya maji ulikuwa (110 m) sawa na (214 feets) aliendeshea bahatpri ya Mediterranean alichukua dakika 9 tu kuendesha kwenye maji

View attachment 569343


Alipohojiwa kuhusiana na chanagamoto gani alipitia akiwa anaendesha baiskeli hiyo alisema, ilikua ngumu kwake kuendesha kutokana na matope mengi ambayo hakua ameyategemea kukutana nayo huko chini ya maji

Ni rekodi alieivunja kwa mara ya pili baada ya kwanza miaka sita iliyopita, na aliendesha kwa umbali wa (60 m) sawa na (197 ft)

Iliingia rasmi kwenye kitabu cha orodha za waliovunja rekodi zaidi duniani 21 July 2008 huku Bw. Lucia Sinigagiles judge kutoka huko huko World Guinness Records akishuhudia rekodi hiyo akitokea London

View attachment 569352

Madame S
0c1b34c398801702e60b65c29a4f3193.jpg

Ngoja nitest mitambo hapa
Ipo siku nitaingia baharini kuisaka hiyo rekodi

....
 
Leo katika Historia

1933 - Just Fontaine anazaliwa.
Ni straika wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ufaransa.

Anashikilia rekodi ya kufunga magoli 13 katika michezo 6 aliyocheza ya kombe la Dunia, katika michuano iliyofanyika pale Sweden mwaka 1958.

Alishiriki kombe la Dunia mara moja na Kufunga goli 13. Ni rekodi ya pekee.
 
5/ je uwamjua mtu mrefu na mfupi zaidi duniani?

He Pingping akitokea Mongolia aliweza kuvunja rekodi ya kua mtu mfupi zaidi duniani akiwa na kimo cha urefu wa (74.61 cm sawa na 29.3 inches) akionekana hapa chini kusimama katikati ya miguu nya mdada mrefu zaidi duniani

View attachment 569356

Alikua ni mtoto wa tatu akiwa mtoto wa kiume pekee kwenye familia yao

Alizaliwa akiwa mdogo na ukuaji wake ulikua wa taratibu sana

View attachment 569357

Alifariki baadae akiwa na miaka 21 mwaka 2010 kwa maradhi ya moyo

Pingping alivunja rekodi hii ya kua mtu mfupi zaidi duniani mwaka 2008

Mtu mrefu zaidi duniani
Ni mwanamama Svetlana Prankratova kutokea Russia, ana urefu wa (1.96 m) alizaliwa huko Volgograd, Russia na alishawah kucheza mpira wa kikapu kama basketball chuo mojawapo huko Virginia

Miguu yake peke yake ina urefu wa (51.9 inches) aliolewa baadae na bwana Jack Gosnell na akaacha rasmi kucheza mpira huo na kua kocha wa mpira huo shule ya wasichana iliyojulikana kama George Mason

View attachment 569367

Kabla ya kuolewa, mama huyu alipopata ushindi wa kuvunja rekodi ya mtu mrefu kwa upande wa kina mama duniani, aliukizwa ni changamoto gani anapata akasema changamoto kuu aliyokua akipata kwa wakati ule ni wanaume kumkimbia na kumwambia hawawez kusimama na mtu mrefu kama yeye mda mwengine ilikua ngumu kwake kuopata nguo sahihi za kulalia kutokana na urefu wake

Kwa leo ni hayo tu tukutane siku nyingine

Jumaa Mubaraq!

Madame S
Ila rekodi yake ilishavunjwa
Andunje of the world !!!

.........
 
5/ je uwamjua mtu mrefu na mfupi zaidi duniani?

He Pingping akitokea Mongolia aliweza kuvunja rekodi ya kua mtu mfupi zaidi duniani akiwa na kimo cha urefu wa (74.61 cm sawa na 29.3 inches) akionekana hapa chini kusimama katikati ya miguu nya mdada mrefu zaidi duniani

View attachment 569356

Alikua ni mtoto wa tatu akiwa mtoto wa kiume pekee kwenye familia yao

Alizaliwa akiwa mdogo na ukuaji wake ulikua wa taratibu sana

View attachment 569357

Alifariki baadae akiwa na miaka 21 mwaka 2010 kwa maradhi ya moyo

Pingping alivunja rekodi hii ya kua mtu mfupi zaidi duniani mwaka 2008

Mtu mrefu zaidi duniani
Ni mwanamama Svetlana Prankratova kutokea Russia, ana urefu wa (1.96 m) alizaliwa huko Volgograd, Russia na alishawah kucheza mpira wa kikapu kama basketball chuo mojawapo huko Virginia

Miguu yake peke yake ina urefu wa (51.9 inches) aliolewa baadae na bwana Jack Gosnell na akaacha rasmi kucheza mpira huo na kua kocha wa mpira huo shule ya wasichana iliyojulikana kama George Mason

View attachment 569367

Kabla ya kuolewa, mama huyu alipopata ushindi wa kuvunja rekodi ya mtu mrefu kwa upande wa kina mama duniani, aliukizwa ni changamoto gani anapata akasema changamoto kuu aliyokua akipata kwa wakati ule ni wanaume kumkimbia na kumwambia hawawez kusimama na mtu mrefu kama yeye mda mwengine ilikua ngumu kwake kuopata nguo sahihi za kulalia kutokana na urefu wake

Kwa leo ni hayo tu tukutane siku nyingine

Jumaa Mubaraq!

Madame S
Hiyo kusimama mmh afanye Kama anangalia juu hivi

My love

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo katika Historia

1980 - Esteban Cambiasso anazaliwa.

Ni kiungo mkabaji wa zamani wa Real Madrid, Inter Milan, Leicester City na timu ya taifa ya Argentina.

Anajulikana zaidi kwa staili yake ya Kipara.

Katika Kombe la Dunia mwaka 2006, Cambiasso alifunga goli dhidi ya Serbia, goli hilo lilitokana na idadi ya pasi 23 bila kuguswa na mchezaji wa Serbia.
 
Leo katika Historia

1984 - Ni siku ya kuzaliwa kwa Robert Huth.

Ni beki wa zamani wa Chelsea, Stoke city na Leicester City.


Alikuwa ni sehemu muhimu katika timu ya Leicester City iliyobeba ubingwa wa EPL msimu uliopita ambapo alitengeneza kombinesheni ya hatari na Captain wa Leicester, Wes Morgan.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom