Hii sasa sifa1/ je wajua mpira mkubwa zaidi uliotengenezwa kwa kutumia rubber band?
Achana na mipira hii ya kawaida tuliowahi kuiona, Joel Waul raia wa United States of America hapa akionekana na mpira alioutengeneza uliovunja rekodi za dunia
Alitumia zaidi ya rubber band 700,000
View attachment 569308
Mpira huu una uzito wa 4,097 kg (9,032 pounds) ulipimwa huko Launder hill, November 13,2008
Wakati anavunja rekodi hii Joel alikua na umri wa miaka 27
View attachment 569310
Madame S
Kumbe masikio ya Pogha mafupi sana2/ pata kufaham maajabu ya dunia nami niko hapa kukujuza zaidi, je wamjua mbwa mwenye masikio marefu zaidi duniani
Anaitwa Tigger bloodhound masikio yake yana urefu wa 34.92 cm (13.75 inches) masikio yote mawili kulia na kushoto
View attachment 569318
Mbwa buyu alikua akimilikiwa na Bw. Bryan pamoja na mkewe Bi. Christina wa huko St Joseph, III
View attachment 569324
Kwa bahati mbaya mbwa huyu alifariki mwaka 2009 baada ya kuingia rasmi kwenye kitabu maarufu cha orodha duniani "Guiness Book of Records" 29 September 2004
Madame S
Walafi mate nje3/ je wajua pizza kubwa zaidi duniani?
View attachment 569325
Eneo la mzunguko wa pizza hii ulikua na ukubwa upatao 1,261.65 square meters sawa na (13,580.28 square feets) iliyoandaliwa na Dovillo Nardi, Andrea Mannocchi, Marco Nardi, Mattlo Nardi, na Matteo Giannotte (wote wakiwa wanatokea Italy) sehem inaitwa Fiera Roma huko Rome, Italy
Pizza hii ilioewa jina la "Ottavia" likiwa na maana ya "watoto wa kiume saba"
Pizza hii pia, iliingia rasmi Guinness Book of Records 13 December 2012
Madame S
4/ achana na mashindano ya kuendesha baiskeli tunayoyaona kila leo, je wamjua alievunja rekodi ya dunia kwa kuendesha baiskeli chini ya maji?
View attachment 569340
Si mwengine bali ni bw. Vittorio Innocente, huko Santa Marghenta Ligure, Liguria, Italy (loh mjini kuna miji jamani)
Alivunja rekodi hii akiwa na miaka 62, umbali alioundesha chini ya maji ulikuwa (110 m) sawa na (214 feets) aliendeshea bahatpri ya Mediterranean alichukua dakika 9 tu kuendesha kwenye maji
View attachment 569343
Alipohojiwa kuhusiana na chanagamoto gani alipitia akiwa anaendesha baiskeli hiyo alisema, ilikua ngumu kwake kuendesha kutokana na matope mengi ambayo hakua ameyategemea kukutana nayo huko chini ya maji
Ni rekodi alieivunja kwa mara ya pili baada ya kwanza miaka sita iliyopita, na aliendesha kwa umbali wa (60 m) sawa na (197 ft)
Iliingia rasmi kwenye kitabu cha orodha za waliovunja rekodi zaidi duniani 21 July 2008 huku Bw. Lucia Sinigagiles judge kutoka huko huko World Guinness Records akishuhudia rekodi hiyo akitokea London
View attachment 569352
Madame S
What my lovemy love
Madame S
Ila rekodi yake ilishavunjwa5/ je uwamjua mtu mrefu na mfupi zaidi duniani?
He Pingping akitokea Mongolia aliweza kuvunja rekodi ya kua mtu mfupi zaidi duniani akiwa na kimo cha urefu wa (74.61 cm sawa na 29.3 inches) akionekana hapa chini kusimama katikati ya miguu nya mdada mrefu zaidi duniani
View attachment 569356
Alikua ni mtoto wa tatu akiwa mtoto wa kiume pekee kwenye familia yao
Alizaliwa akiwa mdogo na ukuaji wake ulikua wa taratibu sana
View attachment 569357
Alifariki baadae akiwa na miaka 21 mwaka 2010 kwa maradhi ya moyo
Pingping alivunja rekodi hii ya kua mtu mfupi zaidi duniani mwaka 2008
Mtu mrefu zaidi duniani
Ni mwanamama Svetlana Prankratova kutokea Russia, ana urefu wa (1.96 m) alizaliwa huko Volgograd, Russia na alishawah kucheza mpira wa kikapu kama basketball chuo mojawapo huko Virginia
Miguu yake peke yake ina urefu wa (51.9 inches) aliolewa baadae na bwana Jack Gosnell na akaacha rasmi kucheza mpira huo na kua kocha wa mpira huo shule ya wasichana iliyojulikana kama George Mason
View attachment 569367
Kabla ya kuolewa, mama huyu alipopata ushindi wa kuvunja rekodi ya mtu mrefu kwa upande wa kina mama duniani, aliukizwa ni changamoto gani anapata akasema changamoto kuu aliyokua akipata kwa wakati ule ni wanaume kumkimbia na kumwambia hawawez kusimama na mtu mrefu kama yeye mda mwengine ilikua ngumu kwake kuopata nguo sahihi za kulalia kutokana na urefu wake
Kwa leo ni hayo tu tukutane siku nyingine
Jumaa Mubaraq!
Madame S
Hiyo kusimama mmh afanye Kama anangalia juu hivi5/ je uwamjua mtu mrefu na mfupi zaidi duniani?
He Pingping akitokea Mongolia aliweza kuvunja rekodi ya kua mtu mfupi zaidi duniani akiwa na kimo cha urefu wa (74.61 cm sawa na 29.3 inches) akionekana hapa chini kusimama katikati ya miguu nya mdada mrefu zaidi duniani
View attachment 569356
Alikua ni mtoto wa tatu akiwa mtoto wa kiume pekee kwenye familia yao
Alizaliwa akiwa mdogo na ukuaji wake ulikua wa taratibu sana
View attachment 569357
Alifariki baadae akiwa na miaka 21 mwaka 2010 kwa maradhi ya moyo
Pingping alivunja rekodi hii ya kua mtu mfupi zaidi duniani mwaka 2008
Mtu mrefu zaidi duniani
Ni mwanamama Svetlana Prankratova kutokea Russia, ana urefu wa (1.96 m) alizaliwa huko Volgograd, Russia na alishawah kucheza mpira wa kikapu kama basketball chuo mojawapo huko Virginia
Miguu yake peke yake ina urefu wa (51.9 inches) aliolewa baadae na bwana Jack Gosnell na akaacha rasmi kucheza mpira huo na kua kocha wa mpira huo shule ya wasichana iliyojulikana kama George Mason
View attachment 569367
Kabla ya kuolewa, mama huyu alipopata ushindi wa kuvunja rekodi ya mtu mrefu kwa upande wa kina mama duniani, aliukizwa ni changamoto gani anapata akasema changamoto kuu aliyokua akipata kwa wakati ule ni wanaume kumkimbia na kumwambia hawawez kusimama na mtu mrefu kama yeye mda mwengine ilikua ngumu kwake kuopata nguo sahihi za kulalia kutokana na urefu wake
Kwa leo ni hayo tu tukutane siku nyingine
Jumaa Mubaraq!
Madame S
Naona mtu na Wii, wifi yakeNiko poa Wii
Namalizia kuandaa makabrasha yangu hapa ili niweke leo katika historia
Karibu sana my wii
Madame S