Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1977 - Steve Biko anakamatwa na Polisi huko Afrika Kusini.
Anateswa na baadae kupoteza maisha.
377321505e30ca451cd89ab9f6e290a0.jpg
b4cd6f64d6e4bf01bf6dc85a538864da.jpg
11f6315e25767ac339033bd76b9b66a7.jpg
Alikuwa akipinga sera za Makaburu Apartheid Policy zilizojikita katika kuwagawa Waafrika ili kuwatawala kiurahisi(divide and rule) haswa ubaguzi wa rangi
Aliuawa Septemba 12
......
 
2/ pata kufaham maajabu ya dunia nami niko hapa kukujuza zaidi, je wamjua mbwa mwenye masikio marefu zaidi duniani

Anaitwa Tigger bloodhound masikio yake yana urefu wa 34.92 cm (13.75 inches) masikio yote mawili kulia na kushoto

View attachment 569318

Mbwa buyu alikua akimilikiwa na Bw. Bryan pamoja na mkewe Bi. Christina wa huko St Joseph, III

View attachment 569324

Kwa bahati mbaya mbwa huyu alifariki mwaka 2009 baada ya kuingia rasmi kwenye kitabu maarufu cha orodha duniani "Guiness Book of Records" 29 September 2004

Madame S
Aisee
 
4/ achana na mashindano ya kuendesha baiskeli tunayoyaona kila leo, je wamjua alievunja rekodi ya dunia kwa kuendesha baiskeli chini ya maji?

View attachment 569340

Si mwengine bali ni bw. Vittorio Innocente, huko Santa Marghenta Ligure, Liguria, Italy (loh mjini kuna miji jamani )

Alivunja rekodi hii akiwa na miaka 62, umbali alioundesha chini ya maji ulikuwa (110 m) sawa na (214 feets) aliendeshea bahatpri ya Mediterranean alichukua dakika 9 tu kuendesha kwenye maji

View attachment 569343


Alipohojiwa kuhusiana na chanagamoto gani alipitia akiwa anaendesha baiskeli hiyo alisema, ilikua ngumu kwake kuendesha kutokana na matope mengi ambayo hakua ameyategemea kukutana nayo huko chini ya maji

Ni rekodi alieivunja kwa mara ya pili baada ya kwanza miaka sita iliyopita, na aliendesha kwa umbali wa (60 m) sawa na (197 ft)

Iliingia rasmi kwenye kitabu cha orodha za waliovunja rekodi zaidi duniani 21 July 2008 huku Bw. Lucia Sinigagiles judge kutoka huko huko World Guinness Records akishuhudia rekodi hiyo akitokea London

View attachment 569352

Madame S
Yuko juu aisee
 
5/ je uwamjua mtu mrefu na mfupi zaidi duniani?

He Pingping akitokea Mongolia aliweza kuvunja rekodi ya kua mtu mfupi zaidi duniani akiwa na kimo cha urefu wa (74.61 cm sawa na 29.3 inches) akionekana hapa chini kusimama katikati ya miguu nya mdada mrefu zaidi duniani

View attachment 569356

Alikua ni mtoto wa tatu akiwa mtoto wa kiume pekee kwenye familia yao

Alizaliwa akiwa mdogo na ukuaji wake ulikua wa taratibu sana

View attachment 569357

Alifariki baadae akiwa na miaka 21 mwaka 2010 kwa maradhi ya moyo

Pingping alivunja rekodi hii ya kua mtu mfupi zaidi duniani mwaka 2008

Mtu mrefu zaidi duniani
Ni mwanamama Svetlana Prankratova kutokea Russia, ana urefu wa (1.96 m) alizaliwa huko Volgograd, Russia na alishawah kucheza mpira wa kikapu kama basketball chuo mojawapo huko Virginia

Miguu yake peke yake ina urefu wa (51.9 inches) aliolewa baadae na bwana Jack Gosnell na akaacha rasmi kucheza mpira huo na kua kocha wa mpira huo shule ya wasichana iliyojulikana kama George Mason

View attachment 569367

Kabla ya kuolewa, mama huyu alipopata ushindi wa kuvunja rekodi ya mtu mrefu kwa upande wa kina mama duniani, aliukizwa ni changamoto gani anapata akasema changamoto kuu aliyokua akipata kwa wakati ule ni wanaume kumkimbia na kumwambia hawawez kusimama na mtu mrefu kama yeye mda mwengine ilikua ngumu kwake kuopata nguo sahihi za kulalia kutokana na urefu wake

Kwa leo ni hayo tu tukutane siku nyingine

Jumaa Mubaraq!

Madame S
Bitoz aliwahi kuileta hapa, acheni Mungu aitwe Mungu
 
Leo katika Historia

1989 - Luis Carlos Galan anauwawa.

Alikuwa ni mgombea Urais mwenye nguvu katika Uchaguzi Mkuu wa Colombia.

Moja kati ya ahadi yake katika kampeni, ilikuwa ni kupambana na mfanyabiashara mashuhuri wa madawa ya kulevya, Pablo Escobar.

Hivyo inaaminika aliuwawa na Pablo Escobar kabla ya Uchaguzi ili asiingie madarakani.

9121d5be8ca61e2815fdc15d29e9dc63.jpg
069e4c4e5b4186091b50bb90420df39c.jpg
2a540f49638a3d40db4a777396d04bf1.jpg
Hapo kuna mkono wa Pablo wala hakuna ubishi maana aliogopwa hadi na jeshi
Wauza unga hawajawahi kumwacha mtu salama
.....
 
Hii serikali ya wangonge bhana ipo bize na viwanda + bomoa bomoa
Sasa hilo jengo la Yanga nani atalinunua ?
Kuliuza ni kumkomoa nani
Huku si ni kuua michezo tu

Ila kama vile ashaamua wauze basi ili Yanga igeuzwe timu ya kuuza samaki pale Jangwani

.........
Kuna mambo nchi hii kuyaelewa ni kazi ngumu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom