Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Ahsante mdau kwa magazetiView attachment 568342Asubuhi njema makapuku wote
Wale watoto wakirejea bongo utaona wapenda kiki wanavyorundikana
Uwe na Siku Njema
.......
Ahsante mdau kwa magazetiView attachment 568342Asubuhi njema makapuku wote
Shemela jamaan sio kwa dude hilo nani yupo tayari kutolewa kizazi huyo atafute tu robot basiHuwezi jua, na yeye anaamini atapata
Too much is harmful
Kikiwa kidogo sana shida
Kikiwa kikubea sana shida
Wastani ndio mpango
Shunie anapenda hiyo
![]()
![]()
![]()
.....

Asante mdau, nawe pia siku njemaAhsante mdau kwa magazeti
Wale watoto wakirejea bongo utaona wapenda kiki wanavyorundikana
Uwe na Siku Njema
.......
YaniLabda aumbwe kwa ajili yake tu sio mwanamke wa kawaida
Aisee4/ je wamjua mtu mwenyevidole vingi zaidi duniani??
Ni mtoto Akshat Saxena mwenye vidole 34 kwa ujumla wa vidole vyake vyote
Jarida la daily mail la terehe 26 July 2011 lilichapisha habari za mtoto huyu wa maajabu kuwahi kutokea
Ana vidole saba kila mkono na miongoni mwao hana vidole gumba kama tunavyozoea kuona mikono ya kawiada inavyokua na vidole kumi kila mguu
Anatokea Utah Pradesh huko Nothern India
View attachment 568391
Madame S
Too much is harmful
Kikiwa kidogo sana shida
Kikiwa kikubea sana shida
Wastani ndio mpango
Shunie anapenda hiyo
![]()
![]()
![]()
.....







Hapana aisee sipendi hizo mambo kabisa mapenzi ni starehe sio kutesana na kuumizanaToo much is harmful
Kikiwa kidogo sana shida
Kikiwa kikubea sana shida
Wastani ndio mpango
Shunie anapenda hiyo
![]()
![]()
![]()
.....
Mmmmh4/ je wamjua mtu mwenyevidole vingi zaidi duniani??
Ni mtoto Akshat Saxena mwenye vidole 34 kwa ujumla wa vidole vyake vyote
Jarida la daily mail la terehe 26 July 2011 lilichapisha habari za mtoto huyu wa maajabu kuwahi kutokea
Ana vidole saba kila mkono na miongoni mwao hana vidole gumba kama tunavyozoea kuona mikono ya kawiada inavyokua na vidole kumi kila mguu
Anatokea Utah Pradesh huko Nothern India
View attachment 568391
Madame S
Sio kwa domo lilembona umeguna jamani wii
Madame S
Ndefu aisee5/ achana na Peruvian hair wala Brazilian hair,je wamjua mtu mwenye nywele ndefu zaidi duniani?
View attachment 568392
Ni mwanamama anaitwa Xie Qiuping raia wa China,
View attachment 568396
Nywele zake zina urefu wa 5.67 m (18 feets) na zilipimwa 08 May 2004
View attachment 568394
Nywele zake zilianza kukua tangu 1973 akiwa na miaka 13
View attachment 568395
Aliwah kuulizwa kama anapata shida kua na nywele ndefu kiasi hicho akajibu hakuna shida anayopata amezoea hali yake kama tunavyosema anapambana na hali yake ila tu aliongezea unapaswa kua mvumilivu kua na nywele ndefu ka!a zake
View attachment 568397
Madame S
Asante sana kwa Je wajuaTukutane keshoooo kwa je wajua nyingine kali
Madame S
Santee madameTukutane keshoooo kwa je wajua nyingine kali
Madame S
Asanteni jamaniAsante sana kwa Je wajua
Hivi punde tu itafuata leo katika historia
Santee madame