Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
KwemaaaHabari za jumanne wapendwa.....
KwemaaaHabari za jumanne wapendwa.....
KaribuuLeo katika historia itafuata baada ya udondozi wa magazeti ikiwa leo ni siku ya jumanne, tarehe 18/7/2017 tutapata kufahamu yale yaliyojiri tarehe kama ya leo miaka ya zamani... Na utakuwa nami Jimena Jimenes a.k.a JJ kwa udhamini wa Tundu Antipas Lissu.... Karibuni sana
Ya nyuki sio kweliiiKabila juzi kamg'atwa na nyuki
Leo kafanya uteuzi wa IGP labda machale yamemcheza nyuki wanataka kurudi tena
.
.
Shukrani mdau
....
Simba wa Afrika. ...Happy birthdayLeo katika Historia
1918 - Ni siku ya kuzaliwa kwa Nelson Mandela.
Rais wa kwanza wa Afrika ya Kusini.
Leo katika Historia
1925 - Adolph Hitler anazindua rasmi kitabu chake maarufu cha Mein Kampf " My struggle"
Leo katika Historia
1968 - Kampuni ya Intel inayojishughulisha na vifaa vya kompyuta yazinduliwa rasmi huko California nchini Marekani.
Leo katika Historia
1961 - Alan Pardew anazaliwa.
Ni mchezaji na kocha kutoka England.
Leo katika Historia
1967 - Vin Diesel anazaliwa.Ni msanii wa Movie toka nchini Marekani.
HBD Nelson MandelaLeo katika Historia
1918 - Ni siku ya kuzaliwa kwa Nelson Mandela.
Rais wa kwanza wa Afrika ya Kusini.
HBD Alan PardewLeo katika Historia
1961 - Alan Pardew anazaliwa.
Ni mchezaji na kocha kutoka England.
Morning too![]()
Mkhitaryan 29'
Lukaku 38'
Valencia red card 68'
Morning wadau
Nina usingizi balaa
....
Leo katika Historia
1918 - Ni siku ya kuzaliwa kwa Nelson Mandela.
Rais wa kwanza wa Afrika ya Kusini.
za masiku humu?
Swalama ?
Morning mazeee
Hope mko Gud...
Fresh wadauMorning too
Nawe pia kiongozi kwema lakini?Fresh wadau
Niwatakie sikunjema
......
Kwema tuNawe pia kiongozi kwema lakini?
Haina shida kiongozi mimi leo nipo Hapa mpaka jua linazimaKwema tu
Ngoja niwakimbie kidogo hadi mida ya baadaye
.....