Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kirat...
dbfa56ed1e2662755875b08a3689a3ff.jpg
 
Leo katika Historia
1925 - Adolph Hitler anazindua rasmi kitabu chake maarufu cha Mein Kampf " My struggle"
c34816506983ce1f7359a49be92a4bc0.jpg
b6bdc4c92e09af2215c353a3fa6722e0.jpg
8003a1573511e15de49fb7804855bb50.jpg

Lilikuwa na kurasa 720
Kilihaririwa na Rudolf Hess
Kilikuwa na machapisho mawili....chapisho/toleo/mwendelezo wa pili alikuwa mwaka 1926
Hitler kwenye kitabu hiki alieleza kinagaubanga Sera yake kisiasa pamoja na mipango yake ya kuipaisha Ujerumani ili liwe taifa lenye nguvu dunia ni
.........
 
Leo katika Historia

1968 - Kampuni ya Intel inayojishughulisha na vifaa vya kompyuta yazinduliwa rasmi huko California nchini Marekani.
362f6cf28aacdca806fec5909cd86851.jpg
0c75ec5bb4459cf9971c65f28a03da07.jpg
a51bdad25cfb81b4901494ad4f3b6b59.jpg

Ni kampuni ya kimataifa inayojishulisha na mawasiliano na teknolojia
Makao makuu yapo Santa Clara hapo California
Waanzilishi ni Gordon Moore na Robert Noyce
........
 
Leo katika Historia

1961 - Alan Pardew anazaliwa.
Ni mchezaji na kocha kutoka England.
4a0f81d11d855940950a954c74864255.jpg
b192aaec1124d7f034e793403308f876.jpg
6944fa6a0c029a6c96519c7361ff6dc8.jpg
Alizaliwa huko Wimbledon
Alikuwa ni kiungo na kuchezea klabu kibao kama vile Tottenham,Reading na Chalton Athletic
Aliichezea Crystal Palace miaka mine
Alistaafu mwishoni mwa miaka ya 1990

Newcastle Utd ndo ilimpa umaarufu kwenye ukocha
.......
 
Leo katika Historia

1918 - Ni siku ya kuzaliwa kwa Nelson Mandela.
Rais wa kwanza wa Afrika ya Kusini.
a0aca768e09760613d9d6c8fccc00bd9.jpg
2892ec18b4aec0edfb058d2073d862c1.jpg
bfa14764e76f3d6880e807356d5e7cde.jpg

Nani zaidi kati ya Madiba na Kamvarage?
Kwangu mimi Kambarage yupo juu maana harakati zake za ukombozi zilikuwa ni kubwa nje ya nchi....kilichomwongrzea umaarufu Madiba ni kufungwa jela tu na kisha kuwasamehe weupe(makaburu) na ubaguzi wa rangi huko bado unawasumbua

Ujanani alikutana na binti mrembo na mjanjamjanja Winnie ambayo alimsaidia sana kwenye harakati za kisiasa ila akansaliti akiwa jela na ndoa yao kulegalega kisha kutengana
Alaja kumuoa Graca Machel uzeeni ambaye ni mjane waSamora Machel

Alifariki mwaka 2013 akiwa na miaka 95
What a blessing?
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom