Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1998 - Rais Bill Clinton wa Marekani anakiri kupitia tepu zilizorekodiwa kuwa, alikuwa na uhusiano na Monica Lewinsky, mfanyakazi wa ikulu ya Nchi hiyo.
 
Leo katika Historia

1977 - Thierry Henry anazaliwa. (Imagine pipo walikuwa wanamuita chogo )
Ni mchezaji wa wa zamani wa Arsenal, Barcelona na Ufaransa.
Ni mchezaji bora zaidi wa Kigeni kuwahi kucheza EPL.
 
4/ je wamjua mtu mwenyevidole vingi zaidi duniani??

Ni mtoto Akshat Saxena mwenye vidole 34 kwa ujumla wa vidole vyake vyote

Jarida la daily mail la terehe 26 July 2011 lilichapisha habari za mtoto huyu wa maajabu kuwahi kutokea

Ana vidole saba kila mkono na miongoni mwao hana vidole gumba kama tunavyozoea kuona mikono ya kawiada inavyokua na vidole kumi kila mguu

Anatokea Utah Pradesh huko Nothern India

View attachment 568391

Madame S
Octopus

....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom