Halla
Morning
Hbd Thierry HenryLeo katika Historia
1977 - Thierry Henry anazaliwa. (Imagine pipo walikuwa wanamuita chogo )
Ni mchezaji wa wa zamani wa Arsenal, Barcelona na Ufaransa.
Ni mchezaji bora zaidi wa Kigeni kuwahi kucheza EPL.![]()
Octopus4/ je wamjua mtu mwenyevidole vingi zaidi duniani??
Ni mtoto Akshat Saxena mwenye vidole 34 kwa ujumla wa vidole vyake vyote
Jarida la daily mail la terehe 26 July 2011 lilichapisha habari za mtoto huyu wa maajabu kuwahi kutokea
Ana vidole saba kila mkono na miongoni mwao hana vidole gumba kama tunavyozoea kuona mikono ya kawiada inavyokua na vidole kumi kila mguu
Anatokea Utah Pradesh huko Nothern India
View attachment 568391
Madame S
Hapana aisee sipendi hizo mambo kabisa mapenzi ni starehe sio kutesana na kuumizana


Ndio hivyo sio wote tunaipenda hiyo midude mikubwa sijui mashine sijui nini![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Ahsante MadameTukutane keshoooo kwa je wajua nyingine kali
Madame S