Yaaani mtu anakuwa muongo mpaka anajidanganya.... Inanikumbusha mchezaji mmoja wa coastal Union wakati Tupo wadogo anaitwa Titus Bandawe.... Alikuwa anapenda chenga sana uwanjani mpaka wakati mwingine anajipiga chenga mwenyewe
6/United Kingdom
Waingereza kwa majivuno !!
Ngoja niwatangazie tu bidhaa yao maana wanapenda kujikweza...."hiyo ndio bia bora zaidi duniani" hawa ndio Waingereza
Huko kwao kumetapakaa viwanda vya uzalishaji mali kuanzia Birmigham,Liverpool hadi Manchester ...baadhi ya timu chimbuko lao ni viwanda
Kama umesoma historia topiki ya Industrial Revolution utawaelewa Waingereza
Huko huchangia USD 245 Bilioni ambayo ni karibia 10& ya GDP
Corporrate tax rate ni 20%
.........................................
Zitaendelea baadaye
Yaaani mtu anakuwa muongo mpaka anajidanganya.... Inanikumbusha mchezaji mmoja wa coastal Union wakati Tupo wadogo anaitwa Titus Bandawe.... Alikuwa anapenda chenga sana uwanjani mpaka wakati mwingine anajipiga chenga mwenyewe